Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Rufa ya mwanamziki Babu seya inatarajiwa kuanza kusikilizwa 30 /11/2009, na itakuwa chini ya majaji 4, akiwemo yule aliyesikiliza kesi ya zombe na wenzake,
-Nani anaweza kubashili kitakachotokea,
-Kisheria hii inawezekana? mtu kahukumiwa zaidi ya mwaka, halafu akate rufaa?
-Nani anaweza kubashili kitakachotokea,
-Kisheria hii inawezekana? mtu kahukumiwa zaidi ya mwaka, halafu akate rufaa?