elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,705
Huwezi kula na kujisaidia kwenye sahani unayolia kwa wakati mmoja ukategemea utaendelea kula.ruby ana kipaji kikubwa kuliko Nandy ila figisu figisu tu zimempoteza
Vipi sasa kipaji chake kimepotea?
Kuna kipindi alikuwa anafanya tour kwenye tvs ana redios kupromote nyimbo zake lakini wapi..
Ana kipaji ila nyimbo alikuwa naandikiwa na hao product za THT sasa sijui kukorofishana na mawingu wameacha mwandikia