TANZIA Rubani wa Ndege iliyotekwa 1982 kushinikiza Nyerere ajiuzulu afariki dunia

Ndege ya ATC ilitekwa kwa mabomu na pistol za mbao, seriously. Captain na crew yake walitaka kwenda London, na siyo kwamba walihofia maisha yao. Baada ya kufika London, hakuna abiria waliyoomba hifadhi ya kisiasa zaidi ya Watekaji?
capt mazula hakuhusika na utekaji..mtekaji ni wakili msomi yasin memba na wenzie
 
capt mazula hakuhusika na utekaji..mtekaji ni wakili msomi yasin memba na wenzie
Najua, lakini kuamrishwa kwenda London na mabomu ya mbao, Captain, crew na abiria vidume vyote walifurahia kisirisiri. Yasin Memba na wenzake walikuwa vijana wamekondeana ingekuwa rahisi kuwatia nguvuni. Nina uhakika hakuna abiria hata mmoja aliyepata lifelong trauma kutokana na mkasa ule.
 
Mkuu Paskal, kuna mambo ya zamani ukiyakumbuka unabaki kufurah…enzi za “nenda kwa singasinga ndo utapata spare hii” huwa sisahau huu msemo maarufu wa mzee wangu hapo akinutuma kununua spare ya Bedford au Zepha 6!
Duh umenikumbusha mbali sana,hivi hizi Zepha 6 bado zipo sokoni kweli...?
 
Enzi hizo Waswahili wenye Benzi wanahesabika!. Mimi nawakumbuka Benzi ya Mzee Lupembe, Benzi ya Obed Katikaza, Benzi ya Dr. Mtawali. Benzi ya Dr. fulani Changombe. Tajiri mmoja akiitwa Mgaya yeye ndio alikuwa ana Range!.
P
Umemsahau KIDA mkuu,kulikuwa kuna Benzi yao moja matata sana ilikuwa inapaki kwenye duka lao pale karibu na clock tower...
 
Walikuwa ni mtu na kaka yake, na wote brand cars zao zilikuwa ni Volvo, enzi hiyo mawaziri gari zao zikiwa ni Pegeot 504 number zikiwa STC na STD!. Gari za polisi zilikuwa Landrover 109, na escort ya Nyerere ilikuwa Peogeot 404. Benzi yenyewe ya Nyerere naomba nisiseme, ila kulikuwa na mhindi tajiri kwa jina la Lord Rajipar, akaleta Benz kali kuliko ya Rais, S Class 500 miaka hiyo!. alitiwa ndani kwa uhujumu!.
Rip Capt. Mazula umetukumbusha mbali!.
P
Kumbe tuko watu wakongwe na washauri humu ndani heshina yako mzee wangu
 
Niliona moja Arusha kwa singa mmoja yupo pale njiro,ukiacha hapo sijawah iona popote tena karibuni…..nadhan ile kampuni imekufa
Nimeingia mtandaoni hizi gari kumbe zipo,ni product ya gari za Ford,hii hapa ni Zephyr ya 2020
Screenshot_20220111-095327_Google.jpg
Screenshot_20220111-095809_Google.jpg
 
Najua, lakini kuamrishwa kwenda London na mabomu ya mbao, Captain, crew na abiria vidume vyote walifurahia kisirisiri. Yasin Memba na wenzake walikuwa vijana wamekondeana ingekuwa rahisi kuwatia nguvuni. Nina uhakika hakuna abiria hata mmoja aliyepata lifelong trauma kutokana na mkasa ule.

Walitua Stanstead, London kipindi cha winter wakitokea Dar es Salaam hali wamevaa mashati na wengine T-shirt.

Walipigwa na baridi ambayo walidai wasingeweza kuisahau maishani mwao. Huu ni ushuhuda wa mmoja wa wazee waliokuwa wahanga wa hiyo hi- jack.

Walipata msaada wa mavazi ya kujikinga na baridi baada ya kuonewa huruma na bi kizee mmoja aliyekuwa akitembeza mbwa wake jirani na uwanja huo ambako aliwaona wakitetemeka kwa baridi.
 
Huna akili,hao wamepambana kwa akili zao sio vyeo vya kuteuana hata kama kichwani ni empty set
WEWE UNADHANI KWENYE UBUNGE WATU HAWATUMII AKILI? Sasa wewe mwenye akili kuna marubani wangapi kwenu?
 
Back
Top Bottom