Ongeauchoke
Senior Member
- Nov 4, 2010
- 149
- 22
Matatizo hayo ya TANESCO hayataisha kutokana na kulazimisha njia ya msongo kubwawa umeme kutoka Ubungo hadi Mwenge mpaka mabango mliyoyabomoa kanisani myarudishe na kutubu. Wote waliohusika wameendelea kushughulikiwa Jairo, Ngereja na wengine unaweza kuongezea orodha. Kumbukeni zile fulana ziliwaonya kuwa mwogopeni Mungu.