Sijakujua wewe ni nani ila huyo Mbunge aliyekulisha namfahamu na Shoga yake ila pia mambo ya NMC waache Mkwasa alishindwa vumilia.
Hivi hata Simbachawene keshaingia kwenye Ulaji Du tumekwisha umeme hata Kongwa na Kibakwe Finitio
Kumbe ubunge ni zaidi ya mshahara na marupurupu.Kuna kifungu cha umisheni town bungeni kuwa unaweza nunuliwa chakula na kupewa pesa za kupinga budget au kusuport.Bunge zaidi unavyolijua.Kama ni kweli si umseme kama Tundu Lisu anavyofanya.Magamba ni waoga,wanafiki,wezi,dhaifu kama baba yao