ukiona kamanda wa polisi kapelekwa Mwanza Au Mbeya huyo cheokikubwa kinamsubiri
mfano
Ernest Mangu
Valentino Mlowola
Diwani Athumani
Said Mwema
Charles Mkumbo
Taarifa nilizopata zinatanabaisha kuwa,aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza amepandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Intelijensia Nchini.
Ikumbukwe kuwa RPC huyu mwenye jina na Mkumbo, ndiye aliyezuia kuagwa kwa marehemu Alphonce Mawazo pale Mwanza.
Ni wazi kuwa ule utamaduni wa kuwapandisha cheo watendaji wa serikali wanaojaribu kudhibiti upinzani,unaendelea hata kwenye uongozi mpya wa Magufuli.
Hicho cheo hakipo jeshi la polisi ....mbona mnashusha hadhi ya hili jukwaa? Labda mleta mada amemaanisha DCI ...
Kama ni wa Polisi ndio kapelekwa kuwa naibu mkurugenzi wa TAKUKURU
Mpaka mwili wa marehemu unawapa watu ulaji.
......acha umburura wewe, hiyo ni long plan!! kwa faida yako Mkumbo sivyo kama unavyomfahamu wewe
damu ya mawazo imtafune kila aliyehusika na makandokando yoyote .Taarifa nilizopata zinatanabaisha kuwa,aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza amepandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Intelijensia Nchini.
Ikumbukwe kuwa RPC huyu mwenye jina na Mkumbo, ndiye aliyezuia kuagwa kwa marehemu Alphonce Mawazo pale Mwanza.
Ni wazi kuwa ule utamaduni wa kuwapandisha cheo watendaji wa serikali wanaojaribu kudhibiti upinzani,unaendelea hata kwenye uongozi mpya wa Magufuli.
aliyeuwawa alikuwa mwanasiasa.Huu uzi muda si mrefu utabadilika na kuwa wa kisiasa ngoja nitoke haraka kabla hawajaanza kutukanana
uzi umekaaa kimajungu!!!