RPC wa Mwanza Charles Mkumbo, apandishwa cheo

RPC wa Mwanza Charles Mkumbo, apandishwa cheo

Taarifa nilizopata zinatanabaisha kuwa,aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza amepandishwa cheo na kuwa Mkuu wa Intelijensia Nchini.

Ikumbukwe kuwa RPC huyu mwenye jina na Mkumbo, ndiye aliyezuia kuagwa kwa marehemu Alphonce Mawazo pale Mwanza.

Ni wazi kuwa ule utamaduni wa kuwapandisha cheo watendaji wa serikali wanaojaribu kudhibiti upinzani,unaendelea hata kwenye uongozi mpya wa Magufuli.

DCP RASHID toka CDT kuwa Deputy DFB.
DCP LUGENDO toka commandant DPA kuwa CDT.
DCP Mkumbo toka rpc mwanza kuwa acting dbci.
Sacp ngonyani toka rpc kilimanjaro kuwa commandant dpa.
Sacp kamugisha toka rpc shinyanga kuwa rpc mwanza.
Acp mungi toka rpc iringa kuwa rpc kilimanjaro.
Acp mshongi toka so I arusha kuwa rpc pwani
Acp obadia toka rco tabora kuwa so I kigoma
Acp jafary toka rpc pwani kwenda cid hq
Acp kibona toka rco mtwara kwenda cid hq
Acp kakamba toka so I geita kuwa rpc iringa.
Acp neema mwanga toka dsm zone kuwa so I kinondon.
Acp nley toka so I kinondon kuwa so i traffik kuu.
Acp mroto toka rco kagera kuwa so i arusha.
Acp nyange toka so I kigoma kuwa rpc shinyanga.
 
Hiyo ndo ccm ni ile ile unadhani mkumbo alipata wapi nguvu ya kufanya Yale aliyoyafanya kwa marehemu Alphonse Nawazo. Jibu unalo sasa kwa hali hii kwanini asipandishwe cheo
 
kama kapandishwa safi sana he deserved it ....
 
Back
Top Bottom