RPC wa Morogoro, Matei achunguzwe juu ya kauli yake kuhusu sababu ya mauaji ya kinyama ya diwani

Sasa kama tukio chanzo chake kimekuwa rahisi kujulikana kisitajwe kisa kuna matukio yamekaa muda mrefu? Au taarifa zinapaswa kutolewa kwa mtindo wa first tukio first out?
Tatizo ni moja tu. Yawezekana kabisa hiyo siyo sababu sahihi. Unapotoa hitimisho hilo bila hata kukusanya ushahidi inaonyesha kana kwamba ulikuwa na taarifa kabla ya tukio.
 
Kwanza nitoe pole kwa ndugu wa marehemu diwani, kijana, mtanzania halisi, baba wa familia kwa kifo kile cha kinyama na cha kulaaniwa kwa kila binadamu hata kama si mtanzania ni kitendo cha kulaaniwa sana sana.
Pili nirudi kwako ww unaelalamika hapa badala ya kutoa taarifa ya unachokijua kuhusu mauaji yale ya kinyama na sio kusema anachosema R.P.C Morogoro sio chenyewe sasa ww kama unakijua kwann ukae nacho moyoni pasipo kutoa taarifa kwa mamlaka husika??? Tatu nikufahamishe tu kuruta hawezi kufanya uchunguzi kwa kua kuruta bado yuko mafunzoni ( R.T.S) hajala kiapo bado sasa uwe unasema unayoyajua sio kukurupuka kwa fani isiyokuhusu
Hata lugha ni tatizo. Kwanza mwandishi hakumaanisha anazijua sababu. Alikuwa anashangaa spidi ya upelelezi; tena upelelezi wa mauaji! Tuna uzoefu kwenye upelelezi wa jondi hii na kesi zake. Uwezo huo wa kuhitimisha hata kabla mwili wa marehemu kufanyiwa uchunguzi wa kitabibu (autopsy)! 'Kuruta' iliyotumika hapo haikuwa maana ya 'kuruta' unayetaka ieleweke.
 
Nimemsikiliza huyu mkuu wa jeshi la polisi Mkoa wa Morogoro akizungumzia mauaji ya kishenzi ya Diwani wa Chadema , kiukweli sijaridhika kabisa na maelezo yake .

Eti anahusisha kifo cha diwani wa Chadema na mgogoro wa mashamba ! Ni porojo za kiwango cha chini sana !

Nasema wananchi wamchunguze wenyewe kwa sababu si rahisi kesi ya nyani ukampelekea ngedere na ukapata haki , hakuna tena imani yoyote kwa jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa jambo hilo baada ya RPC Kuonyesha wazi kukifahamu chanzo cha mauaji hayo , amejuaje ? Je kuruta anaweza kuja na majibu tofauti na bosi wake ?
Tueleze wewe ukweli unaoujua, maana uko kama vile unaujua ukweli wa tukio!
 
Kauli kama ya huyo RPC wa Morogoro inaonyesha ni kwa kiasi gani siasa ilivyoua jeshi hili la polisi!

Sasa hapa tunaona jinsi itakavyokuwa vigumu kuwapata wale waliomjeruhi Tundu Lissu au kujua hata hatma ya Ben Saanane na Azory Gwanda unless wachunguzi huru waje.

Hili jeshi la polisi limeshakuwa badly tamed and compromised kiasi kwamba nafikiri wananchi wanaweza wakaishi vizuri zaidi bila uwepo wao kuliko kama wakiwepo.!
 
Tatizo ni moja tu. Yawezekana kabisa hiyo siyo sababu sahihi. Unapotoa hitimisho hilo bila hata kukusanya ushahidi onsonyesha kana kwamba ulikuwa na taarifa kabla ya tukio.
Polisi wakishakuwa na mavyeo yao watuona sisi wengine kama mambwisi hivi !
 
Hata lugha ni tatizo. Kwanza mwandishi hakumaanisha anazijua sababu. Alikuwa anashangaa spidi ya upelelezi; tena upelelezi wa mauaji! Tuna uzoefu kwenye upelelezi wa jondi hii na kesi zake. Uwezo huo wa kuhitimisha hata kabla mwili wa marehemu kufanyiwa uchunguzi wa kitabibu (autopsy)! 'Kuruta' iliyotumika hapo haikuwa maana ya 'kuruta' unayetaka ieleweke.
Lugha baba ako anajua lugha?? Au ulitaka nikutongoze ndio ujue najua lugha?? Ukiwa unajibu wanaume usijilegeze ww unataka lugha nzuri ili unipe nn??
 
Hahahaahaaaaa!! Wabongo bana akili zetu tunazijua wenyewe.Tukio likitokea uchunguzi ukicheleweshwa maneno kibaoo juzi tukio limetokea jana wametoa maelezo ya nini wanafikiri ndo sababu tayari watu washatia neno "Oooh mbona haraka hivyo?"
 
Nimemsikiliza huyu mkuu wa jeshi la polisi Mkoa wa Morogoro akizungumzia mauaji ya kishenzi ya Diwani wa Chadema , kiukweli sijaridhika kabisa na maelezo yake .

Eti anahusisha kifo cha diwani wa Chadema na mgogoro wa mashamba ! Ni porojo za kiwango cha chini sana !

Nasema wananchi wamchunguze wenyewe kwa sababu si rahisi kesi ya nyani ukampelekea ngedere na ukapata haki , hakuna tena imani yoyote kwa jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa jambo hilo baada ya RPC Kuonyesha wazi kukifahamu chanzo cha mauaji hayo , amejuaje ? Je kuruta anaweza kuja na majibu tofauti na bosi wake ?
Mwenyekiti wa ulinzi na Usalama mkoani Morogoro ni Mkuu wa Mkoa. Wasaidizi wake kwenye jukumu hilo ni vyombo vyetu vya usalama! Ninyi mna Red Brigade lakini bado hamjatoa taarifa kwa nini kikundi chenu hiki kinafanya kazi gani siku hizi wakati jukumu la kikundi hiki ni kulinda viongozi waandamizi wa chama (madiwani nadhani wakiwemo) na mali za chama. Kwa nini kikundi hiki kinaendelea kupewa ruzuku?! na chama?!

Kumbuka ninasikitishwa sana na vifo vinavyotokea nchini kwa raia wasio na hatia.
 
Eti anahusisha kifo cha diwani wa Chadema na mgogoro wa mashamba ! Ni porojo za kiwango cha chini sana !
Tatizo lenu chadema mnapenda kulazimisha mnayoyata yasikilizwe
Hujawahi kukanyaga huko tokea uzaliwe,halafu unatoa wito RPC achunguzwe kisa hukubaliani na melezo yake
Siku hizi mtu wa chadema hata akifa kifo cha kawaida mtasingizia siasa kwa jinsi mlivyokosa ajenda
 
Tatizo lenu chadema mnapenda kulazimisha mnayoyata yasikilizwe
Hujawahi kukanyaga huko tokea uzaliwe,halafu unatoa wito RPC achunguzwe kisa hukubaliani na melezo yake
Siku hizi mtu wa chadema hata akifa kifo cha kawaida mtasingizia siasa kwa jinsi mlivyokosa ajenda
Haya mambo huwezi kuelewa mpaka siku achinjwe mama yako .
 
Nimemsikiliza huyu mkuu wa jeshi la polisi Mkoa wa Morogoro akizungumzia mauaji ya kishenzi ya Diwani wa Chadema , kiukweli sijaridhika kabisa na maelezo yake .

Eti anahusisha kifo cha diwani wa Chadema na mgogoro wa mashamba ! Ni porojo za kiwango cha chini sana !

Nasema wananchi wamchunguze wenyewe kwa sababu si rahisi kesi ya nyani ukampelekea ngedere na ukapata haki , hakuna tena imani yoyote kwa jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa jambo hilo baada ya RPC Kuonyesha wazi kukifahamu chanzo cha mauaji hayo , amejuaje ? Je kuruta anaweza kuja na majibu tofauti na bosi wake ?
alifanya conclusion kabla ya upelelezi.hahaha
 
Haya mambo huwezi kuelewa mpaka siku achinjwe mama yako .
Acheni kutisha watu na kutumia mbinu za enzi ya kikwete kumwaga sumu
Diwani wakati anaongoza wananchi wake kwenye mgogoro waardhi aliwahi kusem Eryhrocyte ni kikwazo akifa yeye tu,tunapata ardhi yetu,na kweli baada ya siku mbili Erythrocyte aliuawa kwa kukatwa mapanga.
Kauawa diwani,police science inaelekeza kuangalia kama marehemu alikua na ugomvi na lazima itakupeleka kwenye kauli yake
Chadema mnaongizwa na mihemko tu
 
Na MAJUHA wa lumumba hawalioni hili la uchunguzi kukamilika katika kipindi kifupi hivi lakini kesi nyingine zinachukua miaka!!!!

Ila kuna vitu jamani ni vya kufikirisha zaidi, matukio mengine uchunguzi wake unachukua muda na hata majibu kutopatikana mfano KUTEKWA KWA ROMA NA WENGINE ila huyu diwani kuuwawa imechukua muda mfupi tu kupata matokeo ya uchunguzi... HONGERENI IDARA YA USALAMA MPO VIZURI
 
Back
Top Bottom