Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,616
- 53,587
Acha kuhemkwa. Maneno yooote hayo ni sentensi moja tu. Hariri halafu acha chuki. Utazeeka vibaya kama bibi asiye na bwana.Inashangaza uchunguzi uliofanywa na wahusika hamtaki mnataka majibu yenu kichwa haya kachungeze wew alafu hyo riport uumpe chombo kingne cha ufipa chenye zaman ya kama ya jeshi la police sio kila jambo mnaliweka kisiasa hii itavuruga nnchi