Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
professionally, yeye kama askari ambaye ameshakuwa mpelelezi kwa miaka mingi, hakutakiwa kutoa conclusion right from the same day, alitakiwa kusema upelelezi unaendela tutatoa jibu na tutafanya lililo ndani ya uwezo wetu kukamata wahalifu. akitoa conclusion hiyo alafu upelelezi ukaja au wananchi wakawa na vivid examples za ushahidi kinzani yeye atatakiwa kuwekwa fungu gani? na wananchi siku hizi wanatunza ushahidi balaa, hata kama tukio lilitokea usiku, inaweza kuja story ingine hapa ukaona ina mashiko kuliko hii ya kwake. angesubiri kwanza, ndiu busara inavyoelekeza, nafikiri hicho ndicho watu wanajaribu kuchallenge.Acheni kutisha watu na kutumia mbinu za enzi ya kikwete kumwaga sumu
Diwani wakati anaongoza wananchi wake kwenye mgogoro waardhi aliwahi kusem Eryhrocyte ni kikwazo akifa yeye tu,tunapata ardhi yetu,na kweli baada ya siku mbili Erythrocyte aliuawa kwa kukatwa mapanga.
Kauawa diwani,police science inaelekeza kuangalia kama marehemu alikua na ugomvi na lazima itakupeleka kwenye kauli yake
Chadema mnaongizwa na mihemko tu