Hapa najatibu tuu kuangalia hawa watu wawili nashindwa kuelewa ni nani afanye nini. Kwamba ni nani anatoa ripoti kwa mwenzake.
Mifano midogo tuu ni hii hapa
1) Gari likipata ajali na kuua watu wengi nani atoe ripoti kimkoa
2) Shule au bweni la shule likiwaka moto na kuunguza/kuua wanafunzi nani msemaji mkuu
3) Majambazi/watu wameuawa na polisi nani awe msemaji
4) Maandamano ya wanafunzi/wanachama/wafanyakazi nani awe msemaji
Ninapokuwa najiuliza maswali haya yote nabakia kusema kwa kweli RC wetu hana kazi. Atasikika kwa kuongoa nini endapo kila kitu mkoani msemaji ni RPC?
Naomba mwana JF anifafanulie zaidi. Haya ni mawazo yangu tuu yananitatiza
Mifano midogo tuu ni hii hapa
1) Gari likipata ajali na kuua watu wengi nani atoe ripoti kimkoa
2) Shule au bweni la shule likiwaka moto na kuunguza/kuua wanafunzi nani msemaji mkuu
3) Majambazi/watu wameuawa na polisi nani awe msemaji
4) Maandamano ya wanafunzi/wanachama/wafanyakazi nani awe msemaji
Ninapokuwa najiuliza maswali haya yote nabakia kusema kwa kweli RC wetu hana kazi. Atasikika kwa kuongoa nini endapo kila kitu mkoani msemaji ni RPC?
Naomba mwana JF anifafanulie zaidi. Haya ni mawazo yangu tuu yananitatiza