Deus F Mallya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 705
- 440
Kweli CCM ina viumbe wa ajabu!.. Kwa namna hii ndo mnadhani mnarudisha imani kwa wananchi?. Pole ccm!
kwani mabomu ya machozh yanaua. Kwanini asiende kukagua mwili wa marehemu ili ajiridhishe kama ni bom au risasi.?
huyo kamanda wa polisi hana akili timamu katumwa na nchimbi
Hii ni kweli tupu, mimi naweza kuamini kwamba kutokana na ushahidi wa Slaa kukutwa na silahaa kule arusha kwenye maandamano, na huku morogoro inawezekana kabisa watu hawa wakawa wanaua ili kuisingizia polisi, hilo polisi mnatakiwa kuwa makini nalo, na maandamano yao wanayofanya sio ya heri kabisa kutokana na kulazimisha hata pale wanapoambiwa wasifanye hivyo. na hao waliokamatwa wanatakiwa kueleza vizuri kuhusu kifo cha huyo muuza magazeti.Katika hatua ya kushangaza, RPC wa Morogoro amekana askari wake kutumia silaha za moto wakati wa kuzima maandamano ya chadema yaliyofanyika mkoani Morogoro leo.Alisisitiza polisi kupiga mabomu ya machozi tu.
Source:Mahojiana ya kamanda huyo na kituo cha TV cha chanel ten wakati wa taarifa ya habari ya saa moja usiku huu.
Hii ni kweli tupu, mimi naweza kuamini kwamba kutokana na ushahidi wa Slaa kukutwa na silahaa kule arusha kwenye maandamano, na huku morogoro inawezekana kabisa watu hawa wakawa wanaua ili kuisingizia polisi, hilo polisi mnatakiwa kuwa makini nalo, na maandamano yao wanayofanya sio ya heri kabisa kutokana na kulazimisha hata pale wanapoambiwa wasifanye hivyo. na hao waliokamatwa wanatakiwa kueleza vizuri kuhusu kifo cha huyo muuza magazeti.
Hivi nchi hii tunaelekea wapi hivi inaposemekana polisi hawajasoma ndo hivi? mtu ameuawa kwa risasi yeye anakana hivi hata kama akili zako ni ndogo ndo zinakuwa ndogo kupitiliza. Mungu atawahukumu wote mliotenda udhalimu huu na wote waliowatuma na wanaoshabikia uhovu huu.
Katika hatua ya kushangaza, RPC wa Morogoro amekana askari wake kutumia silaha za moto wakati wa kuzima maandamano ya chadema yaliyofanyika mkoani Morogoro leo.Alisisitiza polisi kupiga mabomu ya machozi tu.
Source:Mahojiana ya kamanda huyo na kituo cha TV cha chanel ten wakati wa taarifa ya habari ya saa moja usiku huu.
Katika hatua ya kushangaza, RPC wa Morogoro amekana askari wake kutumia silaha za moto wakati wa kuzima maandamano ya chadema yaliyofanyika mkoani Morogoro leo.Alisisitiza polisi kupiga mabomu ya machozi tu.
Source:Mahojiana ya kamanda huyo na kituo cha TV cha chanel ten wakati wa taarifa ya habari ya saa moja usiku huu.
Katika hatua ya kushangaza, RPC wa Morogoro amekana askari wake kutumia silaha za moto wakati wa kuzima maandamano ya chadema yaliyofanyika mkoani Morogoro leo.Alisisitiza polisi kupiga mabomu ya machozi tu.
Source:Mahojiana ya kamanda huyo na kituo cha TV cha chanel ten wakati wa taarifa ya habari ya saa moja usiku huu.
Shilogile asilaumiwe jamani ni maelekezo ya wakubwa wake,hata yeye inamuuma sanalakini hana jinsi