Ni nani alikwambia Dunia inajali kama sijui chadema au ukawa akifurumushwa? Nyie Binadamu mtaacha lini kujidanganya? Nje ya Kimara, KLM na Arusha City hakuna binadamu anayejishughulisha na chadema Dunia hii wala hata anayejali kama ipo au haipo!
Mbwa umlee halafu akuume. Unampiga risasi faster.Kweli ccm ni mafia hata idd amini alilijua hilo, ila hapa ni watanzania wenyewe kwa wenyewe ccm watanyooka tu
Huku hatuna ututsi wala uhutu.Ni nani alikwambia Dunia inajali kama sijui chadema au ukawa akifurumushwa? Nyie Binadamu mtaacha lini kujidanganya? Nje ya Kimara, KLM na Arusha City hakuna binadamu anayejishughulisha na chadema Dunia hii wala hata anayejali kama ipo au haipo!
Kuzuia mikutano ya siasa ni kuvunja katiba na sheria ya vyama vya siasaKutaka kuidhibiti CCM ni kutaka kumzuia Rais kuleta maendeleo....
Umetisha mkuu...Hivi jiji la Mbeya na Manispaa ya Iringa wao wapo upande gani...Ni nani alikwambia Dunia inajali kama sijui chadema au ukawa akifurumushwa? Nyie Binadamu mtaacha lini kujidanganya? Nje ya Kimara, KLM na Arusha City hakuna binadamu anayejishughulisha na chadema Dunia hii wala hata anayejali kama ipo au haipo!
Kutaka kuidhibiti CCM ni kutaka kumzuia Rais kuleta maendeleo....
In Lissu voice, hii sio haki.
Shaka pia amedai wako fiti kuwakabili bavicha. kwaio polisi + ccm they talk in one voice hii imekaaje???
chanzo: majira
chadema fanyeni kazi muinue kipato chenu acheni kutafuta kesiIn Lissu voice, hii sio haki.
Shaka pia amedai wako fiti kuwakabili bavicha. kwaio polisi + ccm they talk in one voice hii imekaaje???
chanzo: majira
Huo ni ushabiki usiondoke na maana.iweje wapinzani waki taka kufanya mikutano wanazuiwa??Ukitaka kuzuia ccm ni kama.unataka kuzuia gharika na ndoo ya plastic , utasombwa , ww ccm ni chama tawala ,nchi inatekeleza ilani ya ccm sasa ww na kabavicha kako ni kama kilabu ya ulabu utashindana na chama tawala?
Kwa hiyo kuanzia siku hiyo vyama vinaruhusiwa kufanya siasa ndani na nje ya ofisi zao??Jamani kuna mambo ya kupigia kelele lakini siyo mkutano wa CCM pale kuna uchaguzi ndani ya chama kwa hiyo ukilinganisha na mikutano ya wanasiana siyo haki ni kweli Vyana vingine vitasikia vibaya kuwa kwanini katazo la rais CCM wao wanaendelea lakini hiyo iko sawa ccm ndiyo chama kinachoongaza nchi kwa sasa kwa hiyo ukipambana nacho utaumia wewe mimi nawaomba BAVICHA wasije kujaribu kuharibu mkutano maana pale rais atakuwa yupo wao wakae waanze nawao mikutano yao siyo kwenda kumpinga rais wa nchi aliyechaguliwa na wananchi hiyo nina imani wanajisumbua