assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
- Thread starter
- #101
jamaa wepiNchi siyo ya hovyo ni wale jamaa.
jamaa wepiNchi siyo ya hovyo ni wale jamaa.
Mgombea wa Chadema alipata kura ngapi na wabunge wote wa CDM wametoka Arusha KLM na Kimara tuu?Ni nani alikwambia Dunia inajali kama sijui chadema au ukawa akifurumushwa? Nyie Binadamu mtaacha lini kujidanganya? Nje ya Kimara, KLM na Arusha City hakuna binadamu anayejishughulisha na chadema Dunia hii wala hata anayejali kama ipo au haipo!
jamaa wepi