Nyangi Marwa Chacha
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 202
- 55
Jamani kuna mambo ya kupigia kelele lakini siyo mkutano wa CCM pale kuna uchaguzi ndani ya chama kwa hiyo ukilinganisha na mikutano ya wanasiana siyo haki ni kweli Vyana vingine vitasikia vibaya kuwa kwanini katazo la rais CCM wao wanaendelea lakini hiyo iko sawa ccm ndiyo chama kinachoongaza nchi kwa sasa kwa hiyo ukipambana nacho utaumia wewe mimi nawaomba BAVICHA wasije kujaribu kuharibu mkutano maana pale rais atakuwa yupo wao wakae waanze nawao mikutano yao siyo kwenda kumpinga rais wa nchi aliyechaguliwa na wananchi hiyo nina imani wanajisumbua