RPC apiga marufuku mahafali ya CHASO Morogoro

RPC apiga marufuku mahafali ya CHASO Morogoro

Mkuu Ndege tupeane updates.
Yale mahafali ya CCM savoy yanaendelea?
 
mahafali yanayofanyika kabla ya mitihani na kabla ya matokeo ni ya darasa la saba, kidato cha nne na sita na vyuo vya Diploma za ualimu.Hakuna chuo kikuu kinafanya mahafali kabla hata ya matokeo.MAHAFALI YA VYUO VIKUU YANAMAANISHA KUHITIMU NA KUFUZU KISHA KUTUNIKIWA.HAO NI WAHUNI TU.
 
mahafali yanayofanyika kabla ya mitihani na kabla ya matokeo ni ya darasa la saba, kidato cha nne na sita na vyuo vya Diploma za ualimu.Hakuna chuo kikuu kinafanya mahafali kabla hata ya matokeo.MAHAFALI YA VYUO VIKUU YANAMAANISHA KUHITIMU NA KUFUZU KISHA KUTUNIKIWA.HAO NI WAHUNI TU.

Mkuu pia hao hawajielewi.Mahafali ya shule ya msingi na sekondari hufanyika mashuleni.Lakini huitwa mahafali ya kumaliza chuo na hutolewa vyeti vinavyoitwa LEAVING CERTIFICATE.

vyuo vikuu hawatoi LEAVING certificate!!!!! Ndio maana Mahafali hufanyika baada ya matokeo ya mitihani.Hao ni wahuni tu hao

Hivyo vyeti anavyowagawia Lowasa ni vyeti hewa.Na ni aibu msomi mzima kugawiwa cheti hewa
 
mahafali yanayofanyika kabla ya mitihani na kabla ya matokeo ni ya darasa la saba, kidato cha nne na sita na vyuo vya Diploma za ualimu.Hakuna chuo kikuu kinafanya mahafali kabla hata ya matokeo.MAHAFALI YA VYUO VIKUU YANAMAANISHA KUHITIMU NA KUFUZU KISHA KUTUNIKIWA.HAO NI WAHUNI TU.
Mkuu sijui kama umefika chuo kikuu...

Tofautisha sherehe za vikundi na sherehe za chuo za kutunuku vyeti...

Wewe kama ulifika chuo na ulikuwa muumini wa dini yako..magafari ya dini mlifanya baada ya matokeo... Au kama ulikuwa kwenye organization yoyote mlifanya sherehe baada ya matokea...

Hivi sisiem mmerogwa na nini??
Na hao uvccm wanaofanya sherehe wao wameishapata matokeo yao£?
 
Mkuu pia hao hawajielewi.Mahafali ya shule ya msingi na sekondari hufanyika mashuleni.Lakini huitwa mahafali ya kumaliza chuo na hutolewa vyeti vinavyoitwa LEAVING CERTIFICATE.

vyuo vikuu hawatoi LEAVING certificate!!!!! Ndio maana Mahafali hufanyika baada ya matokeo ya mitihani.Hao ni wahuni tu hao

Hivyo vyeti anavyowagawia Lowasa ni vyeti hewa.Na ni aibu msomi mzima kugawiwa cheti hewa
Kwanini mnatumia nguvu kubwa kupotosha jambo ambalo liko wazi tu? Hivi Lowassa mbona anawapa shida kiasi hiki? Tumekuwa na taratibu hizi kwa muda mrefu tu. Vyuo vikuu tumekuwa tukifanya hizi hafla kulingana na makundi mbalimbali yakiwemo ya kiimani. Kwa mfano, Ukwata, TYCS, Waislamu; nakadhalika. Baadaye imekuja vikundi vya ufuasi wa kisiasa nao wakaanza kufanya hafla za kuagana na zimekuwa zikihudhuriwa na wageni rasmi ambao ni viongozi ndani ya vyama. Na ieleweke ni CCM wenyewe walioazisha mambo haya, leo kwa sababu tu mmeamua kuziba midomo ya wapinzani mmeona mpige marufuku hafla hizo ili akina wapinzani wasipate forum za kuwakosoa. Huu uoga wa kukosolewa ni mpaka lini? Kuongoza ni pamoja na kuwa tayari hata kukosolewa!
 
Taifa linalojengwa huko ni taifa la wenye chuki na manung'uniko ambalo huzaa watu wenye tabia za ugaidi. Tusifike huko .

Na hicho ndo chanzo cha ugaidi, umenena mkuu
 
fanyeni tu mnachotaka kufanya maana tumechoshwa na maneno yenu.
 
tatizo mkruhusiwa mnaweka bendera mtaa mzima! na kibali hamtaki kukata, halafu mnaongelea kwanini mnetoka bungeni
 
CHASO ndio takataka gani? Hebu acheni watu wajenge nchi bana, sio kuzurura na huyo mzee wenu aliyejichokea, na hataki tena kwenda kuchunga ng'ombe.
 
Pulchra Animo, If not for your references, nobody would know who you support in Tanzanian politics.
If not for your long essay, no one would think you are too verbal and less factual!
You could have easely hide your personal interests from the ruling government if you could talk about our national cry for now - DEMOCRACY!
But thanks to God yo've managed to show your colours as one of the ticks that has bennefited from the current system!
So, I know you would like to return the favour and may ask for more favours!
I don't know what you studied in the G7 appart from English course where you are exellent but I know you didn't study anything about organization growth and management styles.
Your very wordy but not knowing the minings of the words.
Simply, leadership and management looks same to you and their requirements even same!
Its easy to replace managers but not leaders and organizations start with leaders.
Please read Grainer's model and review your previous comment about opposition parties leadership!
And after, answer to how low did Mwalimu JK stayed as a party leader and why?
And talk off any limmits to leadership terms during party inception that you know off!
Last, Join our voices for Democracy and freedom of expression as your repayment to Tanzanians for their sacrifices to keep you abroad!

Paul Alex, mischaracterization of things is a pitfall you seem to lack the ability to avoid! I do not know your background, but based only your written lines of thought, I think you are not a person who would justifiably tout an adequate knowledge of management, leadership and governing systems. ...Contrary to your beliefs, I didn't have a language major during my school years, but I studied exactly what you think I didn't!

You do not appear to understand that I do not hold an anti-democracy position at all. I am rather advocating a holistic (broad-based) approach. As I said or alluded to earlier, the mechanics of democracy is based on a bottom-up approach. You cannot possibly have a democratic country without inevitably having healthy democracy at the individual-party level. As in civil engineering, the integrity of a roof in a building is meaningless unless the integrity of the foundation is unquestionable. Many people, including you, do not appear to know that this is also true in democracy engineering.

Sadly, sometimes you seem to want to have it both ways. You cannot expand democracy and limit democracy at the same time. Your reference to the Mwalimu's era of one-party system is not germane to this debate. ...The practice of some of our party leaders to cling to power is currently inexcusable. For clarity, let me say that serving longer is one thing, but suppressing democracy in order to stay in power is another.

...At any rate, if calling out undemocratic acts in our individual political parties is an anti-democracy posture, then kindly deal me in!!! I said it before and I'll say it again, it is easier for someone on the other side to moderate your cognitive biases than it is to adapt to your emotional biases (which sadly seem to dominate your inner self).
 
Nafikiri itachukua muda mrefu sana kwa wafuasi wa CHADEMA kuelewa kwamba wao na chama chao hawana chao katika nchi hii. Kweli mnatarajia kupewa mwanya wa kujinasibu kisiasa ndani ya nchi? Hiyo demokrasia mnayoililia itoke wapi? Nani awaonee imani awaache mjidai?

Wengine wanalilia enzi Kikwete kama vile uwepo wa vyama vya upinzani wakati huo ulikuwa "raha mustarehe"! Hakika bila kuamka na kuuona ukweli wa nini maana halisi ya "chama dola" maada za aina hii za kulilia demokrasia zitaaendelea kuanzishwa kila siku hadi mwisho wa JF.

Sitaki kuamini kama akina Mbowe & co. huko UKAWA hawajui kwamba kwa muda wa uwepo wa vyama vya upinzani tangu kuanzishwa na wao kuwa madarakani hadi leo ni kielelezo tosha cha kuendelea kuwa wasindikizaji na warasimishaji (legitimizers) wa chama dola kushika madaraka kila uchaguzi mkuu. Sijaona mkakati wa uhakika walio nao wa kubadili Hali hiyo. Nilikaribia kuwaamini walipodai kuwa 2015 hawataibiwa kura lakini yaliyotokea bara na visiwani yanadhihirisha kuendeleza uteja kwa chama dola na mijadala isiyo mwisho kulilia demokrasia. Halafu wananchi kwa ujumla wetu hatuonekani kuwa na utashi wa dhati wa kuondokana na "status quo". Hatuko nao, in short.

Now, the message has been clearly delivered na watemi wa chama dola: siasa hadi 2020. Mnalo jibu?
 
Back
Top Bottom