OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,095
- 103,340
Nimefuatilia kwa mamlaka zote wanipe mchanganuo wa wa gharama za Royal Tour sijafanikiwa?
Naambiwa uko ngazi za juu. Nafikiri hili jambo lifanyike kwa uwazi na uwajibikaji isije kuwa kichaka cha kupiga kodi za wananchi.
Rais asituambie tu anafanya tour, atuambie bajeti ya tour ni pesa ngapi anategemea mapato/impacts ya kiasi gani kutokana na tour yake.
Kingine ni bunge lipi limepitisha matumizi ya hii tour, maana wakati wa bunge hatukusikia, tunakuja kusikia tu kama jambo la dharura? Tour ni dharura?
Walipa kodi tunahitaji kujua
Naambiwa uko ngazi za juu. Nafikiri hili jambo lifanyike kwa uwazi na uwajibikaji isije kuwa kichaka cha kupiga kodi za wananchi.
Rais asituambie tu anafanya tour, atuambie bajeti ya tour ni pesa ngapi anategemea mapato/impacts ya kiasi gani kutokana na tour yake.
Kingine ni bunge lipi limepitisha matumizi ya hii tour, maana wakati wa bunge hatukusikia, tunakuja kusikia tu kama jambo la dharura? Tour ni dharura?
Walipa kodi tunahitaji kujua