CosaNostra
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 382
- 139
Kuna uzi uliletwa hapa kuwa " King maker" Rosta Aziz aliyekuwa nje ya Tanzania kwa muda mrefu sasa ameriudi na kujipanga kumpeleka Lowassa ikulu kwa vyovyote vile - kupitia chama cha CCM.
Baada ya wazee wa chama kukwaza jitihada zile, nia ya walilia rasilimali zetu haikukomea CCM - lOWASA AENDE IKULU KWA VYOVYTE VILE.
Wamewatafuta na kuwapata UKAWA ili kuwatumia kumfikisha Lowassa ikulu. Kama UKAWA wanadhani ni Lowassa mwanasiasa tu na wananchi wafuasi wake ndio waliopokelewa UKAWA wamekosea sana, Wamepokea timu kubwa yenye ukwasi mwingi wa kifisadi unaoratibiwa na fedha za Rostam.
Tulikuwa na matumaini na Upinzani lakini sasa labda tuanze vita ya ukombozi upya, hivi tumeipoteza, mafisadi walewale tuliowasema waliokuwa CCM wamevuka kuja CDM. Pole mama yangu Tanzania.
Baada ya wazee wa chama kukwaza jitihada zile, nia ya walilia rasilimali zetu haikukomea CCM - lOWASA AENDE IKULU KWA VYOVYTE VILE.
Wamewatafuta na kuwapata UKAWA ili kuwatumia kumfikisha Lowassa ikulu. Kama UKAWA wanadhani ni Lowassa mwanasiasa tu na wananchi wafuasi wake ndio waliopokelewa UKAWA wamekosea sana, Wamepokea timu kubwa yenye ukwasi mwingi wa kifisadi unaoratibiwa na fedha za Rostam.
Tulikuwa na matumaini na Upinzani lakini sasa labda tuanze vita ya ukombozi upya, hivi tumeipoteza, mafisadi walewale tuliowasema waliokuwa CCM wamevuka kuja CDM. Pole mama yangu Tanzania.