Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
- Thread starter
- #21
Story ya thread hii si kamili. Nimelitafuta gazeti hilo na kuisoma story yote. Inavyoelekea makachero wa gazeti hilo walikuwa wanafuatilia ingia-toka ya ofisi hiyo ya EL hapo Alpha DryCleaners ambayo haiko mbali sana na ofisi za IPP, wachapishaji wa gazeti hilo la Taifa Letu.
Hizi ingia-toka za vigogo hawa ziliongezeka maradufu baada tu ya mpango wa tanesco kununua mitambo chakavu ya Dowans kukamwa na vikao hivyo vinaonekana ni crisis talks. Si kazi kubwa sana kuspeculate walikuwa wanaongea nini.
Mnadhani walikuwa wanaongea namna ya kuwapiga vita mafisadi?
Hizi ingia-toka za vigogo hawa ziliongezeka maradufu baada tu ya mpango wa tanesco kununua mitambo chakavu ya Dowans kukamwa na vikao hivyo vinaonekana ni crisis talks. Si kazi kubwa sana kuspeculate walikuwa wanaongea nini.
Mnadhani walikuwa wanaongea namna ya kuwapiga vita mafisadi?