Rostam - Kuisambaratisha Tanzania (?)

Rostam Aziz, wote tunamfaham kama mbunge wa Igunga na kada wa CCM na mfanya 'biashara' maarufu. Lakini naomba nimzungumzie Rostam tofauti kidogo. Nimzungumzie Rostam kama kiongozi mtendaji wa 'syndicate' ya wahaini wa kimataifa wanao-control chumi na siasa za mataifa kadhaa duniani hadi sasa, yeye akiwa anatekeleza majukumu yake hapa Tanzania. Mtakumbuka ni kiasi gani hawa jamaa kuputia kwa RA waliwekeza hadi kuhakikisha wamechukua uongozi wa nchi kwa kuweka raisi waliyemtaka wao kwa matumizi yao. Baada ya kushika nafasi hiyo mnaona jinsi walivyofanikiwa kuuweka uchumi na raslimali za Tz mikononi mwao. Wamefanya kaz kubwa sana kuhakikisha wanawafitinisha watanzania kwa misingi ya ukabila ili kuhakikisha hakuna kundi tofauti na wao wanaochukua madaraka. Kwa sasa wameingia katika kipengele cha udini bila kujali madhara yake kwa waTz. Mtakumbuka hivi majuzi gazeti moja la RA liliandika ...Dr Slaa kugombea uraisi kwa tiketi ya CHADEMA.. 'ategemea udini wa wakatoliki kushinda'...
Haihitaji kuwaza sana kugundua madhara ya kauli kama hii kwa kizazi cha sasa na cha baadae...

Nadhani kazi kubwa tuliyonayo waTZ kwa sasa wala sio kupambana na umaskini wala nn.. Ni kupambana na wahaini hawa...

Huyu jamaa baada ya kuingia NDANI ya CCM na kutogusika kisiasa,madhara yake tumeyaona..
Yuko kwenye...
RICHMOND
RITES
KULE BUZWAGI GOLD MINE(CASPIAN)
MASHAMBA YA CHAI(CASPIAN)
SCANDAL ZA OGL NA EPA

Kwa kifupi bila ya huyu jamaa kpigwa full stop, kesha nunua nchi kama plot yake.
 
Hapana udini katika chadema, usilete mambo yako ya idini hapa, kufikiri kuwa kuna udini ni kosa kubwa na kuamini ni kosa kubwa sana, kuchukua hatua kuja kuandika hapa ni zaidi ya makosa, Tz si nchi ya dini lakini kila mmoja ana dini yake na haituhusu watanzania.
 
Mnampa UMAARUFU Rostam ambao hana. Yeye huwa ni mfadhili tu michoro ikishakamilishwa na akina Lowasa.
 
What a great piti jamani...very sad sijui mwelekeo wetu....I wish ningekuwa MUNGU kuna baadhi ya watu wasingalizaliwa...nisingaliruhusu mimba zao kutungwa

mix with yours
 
..... YES!!! Pamoja na RA ADUI ZETU are among ourselves. You do not have to read between lines to deduce what enemies of TANZANIA are up to. In any order, super sillious Bongolanders will as usual succumb to the undermentioned disinformation innuendos:

ONE: Dr Slaa is a Northener, in kinship and blood with his fellow CHADEMA Northeners (Chaggas!!!)

TWO: CHADEMA aims at dethroning Moslems hegemony currently characteristic of CCM and Govt and thus, in its stead, CHRISTIANITY rules OK? Such rubbish is that graffiti you read in places abound with profound stupidity and bad taste, to name a few accolades.

THREE: Dr Slaa serves Vatican Intelligence Agency (... the......)

FOUR: Pls add tothe list

i-th: doubledigook!

unadhani zikipigwa kura za kidini ......mtapona
mix with yours
 
malaria sugu huyu ametumwa kuja kuvuruga hali ya hew humu ndani, mara baada ya kuona wana jf wengi wanahoji utendaji wa kikwete.

amepewa jukumu hilo peke yake juu ya jf. ndio maana hoja zake hazitoki nje ya ccm na kikwete.

rostam azizi huyu ndo muwezeshaji wa haya. malaria sugu hana cha kupoteza isipokuwa mda wake na nguvu zake!

cha msingi ni kwamba sisi wenye uchingu basi basi tukubali kuwa sehemu ya mabadiliko na tundoe upuuzi huu hapo octoba
 
Kwa sababu anatoka Karatu na Wachaga wanatoka Kilimanjaro, basi wameshakuwa kundi moja?
Una maana kuwa Mwandiga kwa Zitto nako ni Nothern Tanzania?

Hungary (Magyar) ni nchi iliyopo Eastern Europe na imezungukwa na majirani karibu wote ambao ni Slovans. Ila cha ajabu, lugha yao iko karibu zaidi na Finland na hawana uhusiano wowote na hao akina Czech, Slovakia, Bulgaria etc. Kwa mtu kutoka Karatu, hana uhusiano wowote na Mchaga. Pia anayegombea hana uhusiano wowote na Mtei ambaye ni mwanzilishi wa Chama.

Dr. W Slaa kafanya kazi nzito kupata umaarufu wake. Hakubebwa na akina Lowassa au RA kufikishwa pale alipo. Wakati wengine wakimshangilia Rais Kikwete kuweka sahihi sheria ya uchaguzi kwa mbwembwe, mtu mmoja pekee alikuwa anakesha kuhakikisha kama kweli alichoweka Rais sahihi ndiyo hicho na akakuta SI HICHO.
Ndiyo mtu pekee aliyeanza KUFUMUA madudu ya Kifisadi. Wengine tulidhani ni Mzindakaya kumbe yule alikuwa anatumika pale marafiki wawili wanapogombana na mmoja anamshambulia mwenzake kwa kumwaga madudu via Mzindakaya.

Ndiye mbunge pekee aliyedai "Mishahara ya Wabunge ni mikubwa" huku na yeye akiwa mbunge na kusema IPUNGUZWE.

Ndiye aliyefumua list ya Mafisadi na Rais wetu hadi leo akaikalia. Na aliweka hadi ushahidi lakini wapi.

Kuna mengi kayafanya hadi AKAJIJENGEA jina. Huwezi kuja hapa kuanza kumchafua mtu na ukafikiri eti tutanunua. Na kama ni kweli Vatican wangelihitaji kuweka mtu, basi wangeliweka Muislaam. Wale jamaa wa Vatican, hata Wayahudi wanawaogopa. UK, USA na Russia wanafahamu kuwa Ujasusi wa Vatican ni mwisho wa Matatizo. USA walipigana na Wakoministi (Cold War) yakawashindwa. Walipoingia wazee wa kazi kwa kumtumia Papa John Paul II, Mkoministi akabwaga manyanga chini.
Kama ni kweli wanataka kufanya hilo, wangelikuja na njia nzuri zaidi na si kutumia mtu wao wa zamani ambaye mbali kabisa unamuona.

Mlimtukana Malecela mwaka 2005. Mkamtukana SA Sallim mwaka 2005. Safari hii tupo macho. Kumbukeni maneno ya Dr. H. Mwakyembe kuwa "Watanzania siyo mabwege tena". Kimewauma kuwa hadi mwisho hamkufahamu kama Slaa atagombea. Hamkufanya matayarisho mazuri kummaliza. Sasa mnaanza kurusha mawe bila kufahamu adui yuko wapi. Kumbukeni kwenye Biblia imeandikwa "Achezaye kwa upanga, hufa kwa upanga". Msijifanye Watakatifu sana maana watu wakianza kumwaga siri zenu, mhhhhhhhh patakuwa hapatoshi.

Mwisho wa siku wote tutabaki kuwa Watanzania. Tugombane kisiasa huku tukikumbuka kesho. Ona sasa mmeshampoteza SAS, Malecela sijui kama ataendelea kuwasaidia. Fisadi Mkapa anajificha na kutokea kanisani kujisafisha. RA na EL dawa yao inakuja mwakani wakati Slaa atakapokuwa Rais. MAFISADI WOTE anzeni kunyowa......

UKO NA SLAA au UKO NA MAFISADI.

..... YES!!! Pamoja na RA ADUI ZETU are among ourselves. You do not have to read between lines to deduce what enemies of TANZANIA are up to. In any order, super sillious Bongolanders will as usual succumb to the undermentioned disinformation innuendos:

ONE: Dr Slaa is a Northener, in kinship and blood with his fellow CHADEMA Northeners (Chaggas!!!)

TWO: CHADEMA aims at dethroning Moslems hegemony currently characteristic of CCM and Govt and thus, in its stead, CHRISTIANITY rules OK? Such rubbish is that graffiti you read in places abound with profound stupidity and bad taste, to name a few accolades.

THREE: Dr Slaa serves Vatican Intelligence Agency (... the......)

FOUR: Pls add tothe list

i-th: doubledigook!
 
Kilichonishangaza ni ukimya wa huyo anayeitwa waziri wa habari katika kulichukulia hatua gazeti husika. Vilevile ukimya wa Baraza la Habari Tanzania wakati kauli kama hizi zinapotolewa kwenye vyombo vya habari vinahatarisha vibaya sana umoja wetu. Sasa pengine tuwe proactive, najua kwa taratibu zao media council hawawezi kuchukua hatua hadi kuwe na malalamiko rasmi. Pengine tuandike barua rasmi ya malalamiko kwenda Mtanzania tukiwataka wafute kauli ndani ya siku saba (kama utaratibu wa MCT) unavyotaka. Wakishindwa kufanya then tupeleke malalamiko rasmi kwa MCT. We can do this just as 'Concerned Tanzanians'.
 
"Kwa ugonjwa huu; nitakufa.. Watanzania wale watalia sana.., nitawaombea kwa Mungu"
Ndugu wanaJF nimeona nianze kwa kunukuu sehemu ya maneno ya Baba wa taifa katika siku zake za mwisho pale St Thomas...

Rostam Aziz, wote tunamfaham kama mbunge wa Igunga na kada wa CCM na mfanya 'biashara' maarufu. Lakini naomba nimzungumzie Rostam tofauti kidogo. Nimzungumzie Rostam kama kiongozi mtendaji wa 'syndicate' ya wahaini wa kimataifa wanao-control chumi na siasa za mataifa kadhaa duniani hadi sasa, yeye akiwa anatekeleza majukumu yake hapa Tanzania. Mtakumbuka ni kiasi gani hawa jamaa kuputia kwa RA waliwekeza hadi kuhakikisha wamechukua uongozi wa nchi kwa kuweka raisi waliyemtaka wao kwa matumizi yao. Baada ya kushika nafasi hiyo mnaona jinsi walivyofanikiwa kuuweka uchumi na raslimali za Tz mikononi mwao. Wamefanya kaz kubwa sana kuhakikisha wanawafitinisha watanzania kwa misingi ya ukabila ili kuhakikisha hakuna kundi tofauti na wao wanaochukua madaraka. Kwa sasa wameingia katika kipengele cha udini bila kujali madhara yake kwa waTz. Mtakumbuka hivi majuzi gazeti moja la RA liliandika ...Dr Slaa kugombea uraisi kwa tiketi ya CHADEMA.. 'ategemea udini wa wakatoliki kushinda'...
Haihitaji kuwaza sana kugundua madhara ya kauli kama hii kwa kizazi cha sasa na cha baadae...

Nadhani kazi kubwa tuliyonayo waTZ kwa sasa wala sio kupambana na umaskini wala nn.. Ni kupambana na wahaini hawa...
cha kushangaza ni hapo majuzi tu, Chadema kilikuwa chama cha wachagga sasa mwimbo umebadilika kimekuwa chama cha Wakatoliki! na Walutheri Waanglikani na Assemblies of God chama chao ni kipi? kweli huu ni uhuru wa habari
 
huyu bwana sijui tumfanye nini siamini kama kuna mtz yupo tayari kuona huyu bwana anaendelea kushikilia /kuiweka serikali mfukoni......watu kama hawa walikuwepo hata kipindi cha hayati nyerere lakini kwa umakini wake na upeo wake mkubwa akawasambalatisha lakini akina kikwete kwao ndiyo mtaji wa kisiasa bila kujali mustakabali wa taifa....................kwa haraka unaweza kufikiri mwandishi wa hii thread kaamua tu kumpaka matope RA lakini wote tunajua jinsi inavyoichachafya serikali haiwezi kuchukua hatua zozote dhidi yake japo kuna skendo kibao zipo na ushahidi wa kutosha kabisa.l........
Inanipa shida sana kuelewa iwapo kweli watu wa igunga ni watz kweli........siamini kama kweli hakuna wasomi kule mpaka wawe tayari kumwingiza haramia huyu kwenye mtandao wa serikali yao...sijui kama kweli niu msukuma.....hatuzungumziii rangi lakini matendo yake na asili yake ni wazi kuwa huyu bwana ana ajenda binafsi...........
SASA TUSAIDIANE NDUGU WATZ........IFIKIE MAHALI TUACHE KULALAMIKA......HATUA ZICHUKULIWE......TUCHUKUE UAMUZI MGUMU LAKINI KWA MANUFAA YA TAIFA...TUMWAMBIE YEYE AENDELEE KUJIHUSISHA NA BIASHARA TU NA SI MAMBO YA SIASA........LAKINI SWALI LA MSINGI NI JE, NANI WA KUFANYA HIVYO?....MAJIBU YAKE NI MAGUMU SANA ILA LAZIMA PIA TUAMINI KUWA ''THERE IS POSSIBLE OF IMPOSSIBLE'' NA HII ITAWEZEKANA TU BAADA YA KUIONDO SISIEMU....TUMPENI KURA SLAA ACHUKUE NCHI AT LEAST ANA CHA KUJIVUNIA KWA KUISAIDIA NCHI..................
huyu bwana anatumia tujarida twake kueneza udini...slaa angekuwa mwislamu wala asingesema chochote ndio maana kajarida haka ka RAI ambako mimi huwa nasoma tu vichwa vya habari na hii ni kwa sababu tu macho hayana bazia lakini wanaandika upuuzi mtupu na hii yote watz wanaotumia elimu yao bora kuandika huu upumbavu ni baada ya kupewa zile pesa zetu za kifisadi na RA.............
Tumpeniu kura slaa naamini ndipo tutakapofanikiwa kuwaondoa maharamia hawa akina RA na wenzake.......
 
"Kwa ugonjwa huu; nitakufa.. Watanzania wale watalia sana.., nitawaombea kwa Mungu"
Ndugu wanaJF nimeona nianze kwa kunukuu sehemu ya maneno ya Baba wa taifa katika siku zake za mwisho pale St Thomas...

Rostam Aziz, wote tunamfaham kama mbunge wa Igunga na kada wa CCM na mfanya 'biashara' maarufu. Lakini naomba nimzungumzie Rostam tofauti kidogo. Nimzungumzie Rostam kama kiongozi mtendaji wa 'syndicate' ya wahaini wa kimataifa wanao-control chumi na siasa za mataifa kadhaa duniani hadi sasa, yeye akiwa anatekeleza majukumu yake hapa Tanzania. Mtakumbuka ni kiasi gani hawa jamaa kuputia kwa RA waliwekeza hadi kuhakikisha wamechukua uongozi wa nchi kwa kuweka raisi waliyemtaka wao kwa matumizi yao. Baada ya kushika nafasi hiyo mnaona jinsi walivyofanikiwa kuuweka uchumi na raslimali za Tz mikononi mwao. Wamefanya kaz kubwa sana kuhakikisha wanawafitinisha watanzania kwa misingi ya ukabila ili kuhakikisha hakuna kundi tofauti na wao wanaochukua madaraka. Kwa sasa wameingia katika kipengele cha udini bila kujali madhara yake kwa waTz. Mtakumbuka hivi majuzi gazeti moja la RA liliandika ...Dr Slaa kugombea uraisi kwa tiketi ya CHADEMA.. 'ategemea udini wa wakatoliki kushinda'...
Haihitaji kuwaza sana kugundua madhara ya kauli kama hii kwa kizazi cha sasa na cha baadae...

Nadhani kazi kubwa tuliyonayo waTZ kwa sasa wala sio kupambana na umaskini wala nn.. Ni kupambana na wahaini hawa...

Lakini si ni juzi tu kijana wao JK katamba bungeni kuwa atalifungia gazeti lolote litakaloandika habari za kutugawa? Au la muajemi haliguswi? Kama hakuna na uhakika na kauli zake angekaa kimya.
 
Mkuu wa kaya kwenye mkutano mkuu wa chama chake alidai atashughulilia watu wote wanaowagawa wa Tz kwa misingi ya udini etc bila shaka amesoma gazeti hii natunamsubiri kwa hamu achukue hatua za haraka
mix with yours
 
Tufaham kitu kimoja kuwa Rostam Aziz is not an individual. Rostam Aziz ni sehem tu ya taasisi kubwa iliyoshikilia dola nyingi duniani. He has nothing to do with CCM either, pale anapatumia kutimiza matakwa yao ya kukamata dola. ....

Great thinking Ramos. Hii ndo habari ambayo Watanzania tunatakiwa tuizingatie kwa tahadhari kubwa sana. Uongozi wa CCM ambao pia umeshikilia dola hivi sasa unatumikia matakwa ya global mafia. Katika mazingira ya namna hii tusahau kufanikisha vita dhidi ya ufisadi pia tusahau kabisa kitu kinachoitwa maendeleo ya dhati; tubakie kusikiliza porojo na takwimu za uongo ilihali maisha yetu yakiendelea kuwa mashakani katika kila fani. Tunachotakiwa kufanya ni kuisadia CCM kwa ama kuung'oa mtandao wa mafia toka ndani mwake au kuiondoa CCM toka madarakani na kuushughulikia mtandao wa mafia kikamilifu. Ni vita kubwa hii.
 
Watanzania mtaendelea kuyumbishwa na CCM Daima,
1-Tuliambiwa CHADEMA chama cha ukoo sasa tunaambaiwa cha Ukatholiki

2-Wakati CUF wapo ngangali kikweli tumeambiwa ni chama cha Kiislaam lakini Uisalaam huo unaishia kisiwa cha CHUMBE baada hapo sio tena cha kiislaam kinakuwa cha KIPEMBA!! Mtanzania zinduka wakati wa ukombozi ni sasa angalia mgombea gani wa upinzania atakayewza kukukomboa kutoka katika makucha ya CCM usijali dini yake kabila lake wala jinsia yake...Mungu ibariki Tanzania
 
Kwa sababu anatoka Karatu na Wachaga wanatoka Kilimanjaro, basi wameshakuwa kundi moja?
Una maana kuwa Mwandiga kwa Zitto nako ni Nothern Tanzania?


UKO NA SLAA au UKO NA MAFISADI.

... i+1 th: to them, they are all Northeners.

Subject is Disinformation and Propaganda to which the silly are just too gullible. Neend translation?

Changanya na zako. DoubleOSeven aint with them!
 
Ni hali mbaya kwamba mpaka wakati huu WaTz hatujagundua kwamba hawa sio wenzetu..
Ikiwa pamoja na viongozi wanaoshirikiana nao...
Tuendelee kujuzana upo wakati utafika..TUTAWAFUTILIA MBALI..
 
Nakumbuka moja ya hotuba za Baba wa Taifa alisema:"Sisi hatuchagui Rais (Kiongozi) kwa sababu ya DINI,KABILA LAKE WALA SURA YAKE TUNATAKA KIONGOZI MCHAPA KAZI MWENYE UCHUNGU NA NCHI YAKE" nadhani hayo maneno aliyasema Mwl. Nyerere yaha umuhimu mkubwa sana kipindi hiki cha uchaguzi maana watu wakianza kuchagua Kiongozi kwa sababu ya Udini na Ukabila pamoja na Sura yake tutalipeleka Taifa kwenye sura nyingine tofauti. Wakati mwingione huwa nahisi Mwl. Nyerere alikuwa na upeo wa kuona mbali sana na IQ yake ilicharge kuliko kawaida maana hotuba zake zote ukizisikiliza na ukilinganisha na vuguvugu la uchaguzi hasa wa mwaka huu utaona kama alitabiria ama aliashiria mambo haya yataibuliwa.


:rip: Mwl J.K. Nyerere
 
embu tuanze kufikiria maendeleo jamanihii jf mmeanza kuandika kuhusu mafisadi toka lini na nini kimefanyika\na kama akuna cha maana embu tuelimishane juhusu kilimo kwanza/ujasiriamali na sisi tututoke jamaa ndio ashaapangau mabwa angani muandike weeeee mpaka jk aondoke atakula kuku embu tufungue macho tena wapendwa

Inashnagza kusikia mtanzania akiwasihi wenzake wanyamaze Tanzania iendelee kuliwa. Haya ni mawazo duni ya kimaskini, hatuwezi kumwacha mama yetu Tanzania akitokomezwa na wahaini halafu tunawaambia watu tuzungumzie kilimo. Tulipovamiwa na nduli Amini taifa zima lilisimamisha ajenda zote mpaka nduli ang'oke. Sasa tumevamiwa na mafisadi, agenda namba moja ni kuwang'oa halafu baada ya hapo tuzungumzia kilimo. Baada ya kumn'goa nduli Amini baba wa Taifa akwaambia wabongo, kazi tumeimaliza, sasa tujifunge mkanda tujenge uchumi. MAHAINI HAWA WATAKAPOTOKA, NDIPO TUTAKAPOZUNGUMZIA KILIMO NA VIWANDA.
 
Back
Top Bottom