Mkuu naomba uhakika wa habari hii..
Tunamchukia sana RA lakini tusije pandikiza sumu ktk maswala nyeti sana kwa sababu yake hali matakwa ya Uraia wa nchi mbili una malengo makubwa zaidi ya RA.
Nakubaliana na wewe tunaomba habari kamili please
Mkuu naomba uhakika wa habari hii..
Tunamchukia sana RA lakini tusije pandikiza sumu ktk maswala nyeti sana kwa sababu yake hali matakwa ya Uraia wa nchi mbili una malengo makubwa zaidi ya RA.
Nakubaliana na wewe tunaomba habari kamili please
Kabla ya kupewa jibu unalotaka, kumbuka gazeti la Rostam lilivyoandika, eti Slaa katumwa na maaskofu. Mbona hatukuona Mtanzania wakiandika Kikwete Katumwa na Mashehe. Hili swali kwa nini hawaulizwi Mtanzania na mmiliki wake Rostam. Kwa vile RA anapesa za ufisadi ndio asiulizwe?
Mkandara,Mkuu naomba uhakika wa habari hii..
Tunamchukia sana RA lakini tusije pandikiza sumu ktk maswala nyeti sana kwa sababu yake hali matakwa ya Uraia wa nchi mbili una malengo makubwa zaidi ya RA.
Mkuu naheshimu unayoyasema but lazima uelewe kuwa hii habari haijakaa sawa bali imeandikwa kwa mtazamo wa kuwatarget watu wa aina fulani mbona sie huwa tunaweka habari kamili halafu mtu aamue jinsi anavyofahamu? Kuna kosa gani nayeye akaweka hivyo? Mie nimeshindwa kucomment kwasababu sioni hoja!
Watanzania ukiwemo wewe wanahaki ya kuhoji uzalendo wa yeyote na hasa Rostam ambaye yupo katika ya misukosuko inayolikumba taifa letu. Hii habari ya Richmond inahusiana sana na RA. Ufisadi huu ndio unaotafuna nchi yetu. Ni juu ya serikali ya CCM kuelezea uraia wa RA, tunahaki ya kuhoji, hatuoni uzalendo wake. Watanzania wengine hatuna pa kwenda isipokuwa Tanzania. Yeye anaweza kupaa wakati wowote kwenda nchi yoyote, mfano Iran. Huyu bwana anamagazeti yake ya uchochezi na uzushi, kwa nini watu wamtetee humu?
Mzee hakuna asiyejua Rostam ni mwizi na hasafishiki kama rafiki yake Lowassa but kabla hujamtuhumu toa vielelezo vinavyomfanya aitwemwizi ama sivyo sioni haja ya kumuita mtu mwizi. Kuhusu hili swala la uraia wa nchi mbili kama RA alilishinikiza linagusa mpaka usalama wa taifa kwani inakuwaje mtu mmoja ashinikize jambo lenye kuwaaffect watanzania milioni 40? Sasa hatuwezi kuwa tunabishana hilo pasina kuwa na taarifa kamili wazee.
Kabla ya kupewa jibu unalotaka, kumbuka gazeti la Rostam lilivyoandika, eti Slaa katumwa na maaskofu. Mbona hatukuona Mtanzania wakiandika Kikwete Katumwa na Mashehe. Hili swali kwa nini hawaulizwi Mtanzania na mmiliki wake Rostam. Kwa vile RA anapesa za ufisadi ndio asiulizwe?
Mtu mzima hovyooHahahahahaha!!!!!!!!!!!!!!!!!Ama kweli mkuki kwa nguruwe kwa binaadamu mchungu ivo sio nyinyi wakina RAMOS mliokuwa mnapiga kelele ya kuwa cuf chama cha kiislaam sasa kuna ubaya gani kuambiwa chadema chama KATOLIKI? Jamani jamani uwo ndo ukweli mliandika,mlipiga kelele, makahubiri makanisani,kwenye magazeti yenu,vyuo vikuu,kila mahal mlinadi cuf wadiniau siasa kali au sio nyinyi ikafika wakati mpaka omari mahita alipokuja na sera ya visu vyenye rangi za cuf makakubaliana nae kuwa ni kweli bila ya aibu mkaendeleza kelele sasa RA anataka kuitumbukiza tanzania kwenye vita kwanini mmeguswa wakristo waw!!!!NAWAOMBA WAISLAAM wasiisapoti chadema kwanza mgombeawake ni Padri,alieasi kwa kuowa bado ni mkristo tena 'katoliki ni mbaya kwa waislaam na dini nyengine watanzania tushirikiane tumpige vita hakuna cha RA wala nini tusiwasikilize wakristo wala wasituhadae tumpige vita slaa,tumsapoti Pr.LIPUMBA natuwaache na slaa wao.Kama Lipumba Muislam,Slaa mkristo hapo ndipo mlipotufikisha wakristo tuendeleeni tuuu.
I tell you that it is easier for KIKWETE kupelekwa mahakani hata leo!!, kuliko RA kuchukuliwa hatua yeyote ya kisheria. After all nani atamchukulia hatua wakati wote wako chini ya control yake!!?
"Kwa ugonjwa huu; nitakufa.. Watanzania wale watalia sana.., nitawaombea kwa Mungu"
Ndugu wanaJF nimeona nianze kwa kunukuu sehemu ya maneno ya Baba wa taifa katika siku zake za mwisho pale St Thomas...
Rostam Aziz, wote tunamfaham kama mbunge wa Igunga na kada wa CCM na mfanya 'biashara' maarufu. Lakini naomba nimzungumzie Rostam tofauti kidogo. Nimzungumzie Rostam kama kiongozi mtendaji wa 'syndicate' ya wahaini wa kimataifa wanao-control chumi na siasa za mataifa kadhaa duniani hadi sasa, yeye akiwa anatekeleza majukumu yake hapa Tanzania.
Mtakumbuka ni kiasi gani hawa jamaa kuputia kwa RA waliwekeza hadi kuhakikisha wamechukua uongozi wa nchi kwa kuweka raisi waliyemtaka wao kwa matumizi yao. Baada ya kushika nafasi hiyo mnaona jinsi walivyofanikiwa kuuweka uchumi na raslimali za Tz mikononi mwao.
Wamefanya kazi kubwa sana kuhakikisha wanawafitinisha watanzania kwa misingi ya ukabila ili kuhakikisha hakuna kundi tofauti na wao wanaochukua madaraka. Kwa sasa wameingia katika kipengele cha udini bila kujali madhara yake kwa waTz. Mtakumbuka hivi majuzi gazeti moja la RA liliandika ...Dr Slaa kugombea uraisi kwa tiketi ya CHADEMA.. 'ategemea udini wa wakatoliki kushinda'...
Haihitaji kuwaza sana kugundua madhara ya kauli kama hii kwa kizazi cha sasa na cha baadae...
Nadhani kazi kubwa tuliyonayo waTZ kwa sasa wala sio kupambana na umaskini wala nn.. Ni kupambana na wahaini hawa...
sioni sababu ya wakristo/chadema kulalamika. Haya yanayotokea sasa hivi ndivyo ilivyokuwa kwa cuf chaguzi mbili zilizopita. Cuf ilihusishwa na uislamu si kwa sababu ina sera yoyote inayotetea uislam ila tu kwa sababu wanaoonekana kwenye kampeni wengi wamevaa vibarakashee, na hata humu janvini huwa yanasemwagwa sana tu na akina buchanan.
Ila kwa slaa kuambiwa katumwa na kanisa ni kikwazo. Hata mimi nasema kuwa slaa katumwa na kanisa, hakuna siri hapa mbona mambo yako wazi mitaani?
Mwisho,
atoe msimamo wake juu ya
i. Mahakama ya kadhi
ii. Oic
otherwise akatetee jimbo lake karatu.
Wataalam wa kazi.... Mimi nadhani waTz tunahitaji nishani ya ulalamishi... we complaint alot and do very little to address what needs to be done. HIvi kwa lawama zote anazopata Rostam na alivyo accessible...
AU ndio uvuvzela na njaa zetu?