Rostam Aziz kuvuliwa Uraia?

Rostam Aziz kuvuliwa Uraia?

RA ni mdogo sana kwangu. Kufahamu alikosoma msingi, sekondari sio rahisi. Angekuwa sio Mtanzania, CCM na hata vyombo vya DOLA wasingeweza kulifunika hili. Ana "maadui" wengi kisiasa na kibiashara na hata wenye chuki tu zisizo na sababu. Unadhani Mzee wetu Mengi angemwacha na vyombo na nyenzo zote alizonazo?

Sasa inakuwa vigumu vipi information hizi kuwekwa wazi?? Kwani this type of information is classified kwa mtu anayegombea ubunge; mtu kuonesha aliposoma na alipozaliwa au kuukana uraia wake wa asili?!
 
RA kwao ni pale Mwisi, Igunga. Mliowahi kupanda mabasi ya MAMLO enzi hizo mtawafahamu ndugu zake. Ileteni kwanza sheria ya URAIA wa NCHI yetu halafu ndipo tulijadili kwa kina na mwelekeo sahihi suala hili.
Waarabu na WaIran wa Tabora tunao wengi tu.

Hao ndugu ni baba na mama yake? ni ndugu au marafiki? au unamaanisha walikofikia alipoingia tz? Mwenye ukweli kuhusu uraia wa RA anaweza kuwa mzee Sengerema (ikiwa yuko hai) aliyekuwa chairman wa ccm mkoa wa Tabora maana ndiye aliyempandisha chati ndani ya ccm baada ya mzee kabeho kufariki.
 
Kihistoria makabila karibu yote hapa tanznaia ni ya kuja labda tuulizane sisi wenyewe tumewahi kukana uraia wa huko tulipo toka babu zetu walikana uraia wa nchi hizo ?
Kigezo kimojawapo cha kugombea ubunge ni uraia. Unasema "tuulizane sisi wenyewe," kwani wote tunagombea huo ubunge??!!!
 
Kihistoria makabila karibu yote hapa tanznaia ni ya kuja labda tuulizane sisi wenyewe tumewahi kukana uraia wa huko tulipo toka babu zetu walikana uraia wa nchi hizo ?

Wa-IRAN ni kabila? Give me a break!

Hiyo Historia mnayo-refer mnataka ku-justify nini?

Kuna Binadamu wanaitwa Watanzania kwa Kuzaliwa Nchi iliyobatizwa Tanzania (right?)

Haya mambo ya Sheria za Uraia yanakuja ku-qualify wale walizaliwa kabla ya Nchi kubatizwa na walizaliwa nje ya mipaka ya hiyo nchi!

Bashe Hussein has never been my friend BUT what CCM has done will raise so many questions re Citizenship! RA being one of the direct victims!
 
Sasa inakuwa vigumu vipi information hizi kuwekwa wazi?? Kwani this type of information is classified kwa mtu anayegombea ubunge; mtu kuonesha aliposoma na alipozaliwa au kuukana uraia wake wa asili?!
Steve,
Vyeo vyetu vya kisiasa vimerahisishwa mno. Hatutaki kuwafahamu VIONGOZI wetu kwa undani. Pesa inaamua kila kitu. Pesa ndio iliyotupatia UONGOZI wa sasa wa Nchi yetu. Pesa ndio itakayotuundia Bunge lijalo.
 
Well now this can be somehow tackled wagombea wa upinzani wamfungulie kesi ya uraia huyu jamaa na kumzuia asigombee Igunga!
 
Hao ndugu ni baba na mama yake? ni ndugu au marafiki? au unamaanisha walikofikia alipoingia tz? Mwenye ukweli kuhusu uraia wa RA anaweza kuwa mzee Sengerema (ikiwa yuko hai) aliyekuwa chairman wa ccm mkoa wa Tabora maana ndiye aliyempandisha chati ndani ya ccm baada ya mzee kabeho kufariki.
Mzee Petro Midelis Sengerema naye ni Marehemu. Wazee wale wa Mwisi na wengine walikuwa pale Sungwizi ndio wazazi na ndugu wa RA.
 
Mzee Petro Midelis Sengerema naye ni Marehemu. Wazee wale wa Mwisi na wengine walikuwa pale Sungwizi ndio wazazi na ndugu wa RA.

Pale Sungwizi hakuna vijana waliokuwa rika moja na Aziz? Can someone tell me that "...Aziz alikuwa anasoma xyz miaka ya uvw na likizo alikuwa anakuja hapa na mara nyingi alikuwa akimtembelea mzee abc e.t.c" Mbona there few details re Aziz's early days life?
 
Pale Sungwizi hakuna vijana waliokuwa rika moja na Aziz? Can someone tell me that "...Aziz alikuwa anasoma xyz miaka ya uvw na likizo alikuwa anakuja hapa na mara nyingi alikuwa akimtembelea mzee abc e.t.c" Mbona there few details re Aziz's early days life?
Waandishi wa habari za uchunguzi waende Mwisi, Sungwizi na Nkinga. Watapata kila wanachokitaka kuhusu RA. Vinginevyo tuendelee kutia soga za akina Mtikila humu ambaye alimkana hata Nyerere wetu.
 
Tatizo hapa kwetu kila mtu anajichukulia haya mamlaka ya kudai kuwa fulani si raia, wakati ni wazi kuwa wenye hayo mamlaka ni uhamiaji. Tatizo hapa ni kuwa zaidi kwa watu wa bara mtu yeyote ambae si kabila lao basi si raia...vilevile kihistoria Tz tuna hii tabia ya kuzushiana hili suala ukianzia wakati wa miaka ya 60 Tanu ilipomzushia kuwa Kambona si Mtz naye alipohamia London akadai kuwa nyerere si Mtz vilevile...
Tukaona kila Ulimwengu, yule mbunge wa kigoma jina nimesahau, haya leo hii kina Bashe, Rostam na Mkulo...hii inaonyesha wazi tuna uelewa mdogo wa elimu ya uraia na vilevile kuna loopholes kwenye suala zima la uraia wa nchi yetu.

Jee sheria inasemaje kama wazazi wako si raia na wee umezaliwa hapa?

Bashe ni wazi kuwa ni raia halali na ana ruhusa kugombea nafasi za uongozi kwa mujibu wa sheria za Tanzania, hilo limethibitishwa na uhamiaji. Sasa Makamba anadai kwamba wao CCM wana vigezo tofauti kuhusu swala la uraia yaani tofauti na serikali yao, hapo mi sielewi...

Ingekuwa vyema kama nafasi zote za uongozi (vyama na serikali) watu wawe vetted na vyombo husika kuhusiana na umri, uraia n.k. kabla ya kutuletea haya madudu na sababu zisizo na msingi!

Makamba na CCM yako msitufanye umma wa watanzania kama wote ni mataahira, na kutuletea sababu za ajabuajabu...

Bashe hama CCM, simple as that
 
Kigezo kimojawapo cha kugombea ubunge ni uraia. Unasema "tuulizane sisi wenyewe," kwani wote tunagombea huo ubunge??!!!

Mkuu wakazi wengi waliokuwepo ilipoanzishwa Tanganyika ikiwa ni wale wakuja (wahindi, wazungu na likes of Joseph Mungai) na waliozaliwa kwenye koloni la mwingereza walitangazwa kuwa raia wa Tanganyika. Waliokuja Tanganyika baada ya tarehe hiyo na hata waliozaliwa na watu waliokuja si raia. Sijui RA anaangukia kundi lipi.

Hata kama RAsi raia hakuna mwenye uwezo wa kumgusa maana yeye ndio anayechezesha mchezo wote wa siasa bongo. Wakuu wa idara nyingi nyeti wamewekwa madarakani kwa hisani yake, kwa hiyo huwezi kuwalinganisha RA na Bashe. Believe me RA hata akitaka kugombea Urais anaweza kupata hata kama ikijulikana kuwa yeye raia. Uwezo huo uko mkononi mwake, ametuweka mkononi, believe it or not. Aliamua kuwa rais by proxy kwa kuwa rangi yake ingeleta viulizo.
 
Sasa naamini kuwa CCM na serikali yake ni MATEKA wa MAFISADI!! watanzania tumekosa nini? kufa kwa Mwalimu Nyerere ndio kumewafanya viongozi wa CCM kuwa vipofu namna hii? kinacho wafanya wanamn'gang'a nia FISADI nini? huyu jamaa anaitoa wapi jeuri yake?

Umenikumbusha comrade...ingekuwa enzi za mwalimu..angekuwa ndani kitambo..unakumbuka lile giriki....? Aliiweka mfukoni serikali ya mwalimu...Kama huyu..tofauti wakati ule kulikuwa na raisi...bt now tuna mtawala....swahiba...:mad2::mad2::mad2:
 


angalia wazee wa Igunga hao leo kwenye ITV
 
Last edited by a moderator:
kwi kwi kwi, kazi kweli kweli kijana katoka jandoni ngoma inogile
 
RA kashindwa kujaza mifuko ya hawa wazee? Au ndio yale yale ya kukataa kura za wafanyakazi?
 
duh hawa wazee wa Ingunga kwenye hivyo video wanazua balaa.
Sasa itakuwaje watafumba macho wakina msekwa ,makamba na mwenye kiti wao mkwere
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom