jossiekaps
JF-Expert Member
- Sep 11, 2015
- 316
- 234
Sawa...lakini pia wapimwe wabunge wetu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 zitto zuberi kabwe aiseee tunaitaji sana watu wenye kujitia muhanga kama hawa,ukiweza kuthubutu basi ww umekamilika.
HUYU ROSTAM NAONA KARUDI KIVINGINE, TUSIPOANGALIA TUTAKUJA KUWA NA RAIS MHINDI HAPO BAADAE