We ndio mtetezi wake mkuu.Kwani ana nyadhifa ipi kwa sasa CCM. Wacha kudanganya watu.
Mambo FF,Hivi wadhifa wa Manywele kwa kamati ya usalama na mambo ya nje bungeni ni wadhifa wa chama au bunge?Kwani ana nyadhifa ipi kwa sasa CCM. Wacha kudanganya watu.
Wanajamvi:
Habari za kuaminika ni kwamba Rostam Azizi asubuhi hii atatangaza kujivua gamba rasmi katika mkutano na waandishi haabari Tabora. Anajiuzulu nyadhifa zote nakubakia na kadi ya CCM tu.
Wanajamvi:
Habari za kuaminika ni kwamba Rostam Azizi asubuhi hii atatangaza kujivua gamba rasmi katika mkutano na waandishi haabari Tabora. Anajiuzulu nyadhifa zote nakubakia na kadi ya CCM tu.
Haya mengine yanakuchoma sana?Tusubiri tu ya Shibuda na CHADEMA.
Dah! Dhana haikueleweka basi kama ni hivo. Urais wa JK tunautenganisha vipi na "juhudi binafsi" za RA na EL? Hawa wawili wanaweza kuwa magamba kweli?hiyo kadi ndilo gamba lenyewe sasa anabaki nalo la nini wakati kaamua kujivua.
Hayapo! Ilikuwa hadithi aloojitungia NAPE tu.Haya mengine yanakuchoma sana?
Kwani ana nyadhifa ipi kwa sasa CCM. Wacha kudanganya watu.
vyanzo vyangu vyote vinasema hakuna kitu kama hicho.......
ila nianchojua ni kwamba jk anakutana na Rostam leo jion huko serengeti Bilila lodge kempinski ambako jk ameenda kwa ajili ya mapumziko.....
jk na lowasa walishamaliza kuongea mda mrefu + chenge
hakuna atakaye fukuzwa toka ccm
Ubunge sio nyadhifa, ubunge ni uwakilishi na wanaomchagua ni wananchi. Tazama Shibuda alipotemwa CCM akaukwaa Ubunge kupitia cdm. Au umesahau, nikukumbushe na Slaa? Alipopigwa chini akaukwaa ubunge kupitia wapi? Kuweni makini kidooogo. Kwa kiwango alichofika Rostam anaweza kuwatumikia wananchi bila ya kuwa Mbunge. Hilo likumbuke.Faiza ubunge ni nini?