Edson Zephania
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 517
- 112
Leo kila mtu ni mtoa taarifa. Haya bwana!!!
MAFUNUNU FUNUNU!!!matetesi matetesi:A S 103:
Umeongea nae vipi?Kwa simu?Tupe namba tumuulize wenyewe.Hii ndo habari yenyewe, nimeongea naye anasema hakuna kitu cha namna hiyo
Hii ni habari za kizushi, anasema huu mchezo wa habari za kusadikika zinachezwa na
wanaccm wanzake hili kumchafua hasahasa katibu muenezi,
amesema "hii itasababisha chama changu kuwa hatari wakiendelea na mchezo huu" mwsho wa kunukuu
Wakuu ndo hayo tu
Hii ndo habari yenyewe, nimeongea naye anasema hakuna kitu cha namna hiyo
Hii ni habari za kizushi, anasema huu mchezo wa habari za kusadikika zinachezwa na
wanaccm wanzake hili kumchafua hasahasa katibu muenezi,
amesema "hii itasababisha chama changu kuwa hatari wakiendelea na mchezo huu" mwsho wa kunukuu
Wakuu ndo hayo tu
Umeonaee!Magamba yanajikwangua yenyewe!Kazi ipo leo. Hadi malaria sugu kafufuka na anapingwa na omr?Chwiii chwiii!Leo kazi ipo JF... Hakyamungu!
Hii ndo habari yenyewe, nimeongea naye anasema hakuna kitu cha namna hiyo
Hii ni habari za kizushi, anasema huu mchezo wa habari za kusadikika zinachezwa na
wanaccm wanzake hili kumchafua hasahasa katibu muenezi,
amesema "hii itasababisha chama changu kuwa hatari wakiendelea na mchezo huu" mwsho wa kunukuu
Wakuu ndo hayo tu
Hiyo bado haitamtakasa. Haachie na ubunge.