Rostam Aziz aachia ngazi CCM

Rostam Aziz aachia ngazi CCM

Sasa kwanini hakuacha kugombea ubunge kabisa wakati wa uchaguzi? Tunaingia gharama zingine za uchaguzi
 
Mdau katugusa ni 24 min to midnight Tz tym tuko
There are currently 1000 users browsing this thread. (171 members and 829 guests)

 
Wewe umeangalia upande mmoja tu wa faida hujaangalia kuwa kwenye biashara yeyote huwa kuna hasara, isome tena barua yake read between the lines utaona ana kinyongo na watu fulani na hicho kinyongo ndio upande ambao hujauona.

Mkuu ni wewe ndiyo unatakiwa uread between the lines. Kama swala ni kuathiriwa kibiashara hajaanza kusemwa leo. Unataka kuniambia biashara zake leo hii ndiyo zinaanza kuathiriwa na bad publicity yake ambayo imeanza tokea 2008? Mkuu watu wakijiuzulu wanatoa statements za kuficha ukweli wa mambo. Chunguza kiundani zaidi. This is not a matter of business.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Hadi nione siku mtu anaingia jela la sivyo ni SANAA TU.
 
PONGEZI KWA CHADEMA List of shame imezaa magamba, yanawawasha wanahangaika kuyavua Viva Dr Slaa viva Tundu lissu
 
Thanx Mwanakijiiji,Wamebakia Mapacha wawili tu..Tunawasubiria na wao...
 
Mimi nimetizama taarifa ya habari TBC 1, wakati Rostam anasema nimeamua kuachia nyadhifa zote za chama cha CCM, basi ukumbi woto ukaangua kilio kweli Rostam kiboko, tusubiri yajayo siasa za bongo kwa kiasi kikubwa zimejaa usanii
 
Swali:

a. Kwanini RA kajiuzulu - baada ya watu kusoma hotuba yake kuna mtu anawezakusema ni kwanini hasa kajiuzulu?
b. Kwanini hakujiuzulu kabla ya leo?
 
Swali:

a. Kwanini RA kajiuzulu - baada ya watu kusoma hotuba yake kuna mtu anawezakusema ni kwanini hasa kajiuzulu?
b. Kwanini hakujiuzulu kabla ya leo?
Its obvious kuna pressure from within the party haswa ukiangalia zile siku tisini zilivyokuwa zinakaribia hata wakina EL walianza kutaka kama kuitisha serikali via Bunge! Uki-analyze vizuri reaction ya serikali kupitia Pinda unaweza kuona by that time hata EL alikuwa ashajua kinachokuja na alichotaka kufanya ni kuitia serikali baridi! Akakuta jamaa wana joto!
 
Nafanya hivyo nikiwa na imani thabiti kwamba, uamuzi wangu huu, hususani ule wa kuachia nafasi yangu ya ubunge, yatakipa fursa nyingine CCM ya kuendelea kuliongoza jimbo letu la Igunga katika kipindi cha miaka minne ijayo kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

Naona mkuu ameamua kudondoka na coded language kwamba CCM haiwezi kushinda ubunge Igunga bila yeye na kama hawaamini wajaribu waone!!!!!! This guy has the gutz huh!!!!!!!! Kweli jamaa wako mfukoni mwa Rostam.
 
Its obvious kuna pressure from within haswa ukiangalia zile siku tisini zilivyokuwa zinakaribia hata wakina EL walianza kutaka kama kuitisha serikali via Bunge! Uki-analyze vizuri reaction ya serikali kupitia Pinda unaweza kuona by that time hata EL alikuwa ashajua kinachokuja na alichotaka kufanya ni kuitia serikali baridi! Akakuta jamaa wana joto!

Mkuu kwa nnavyoijua CCM ya leo hakuna cha pressure from within wala nini, hii ni kisirani tu ya Rostam in a way jamaa anajutia muda aliopoteza kujizungusha zungusha CCM kwani huo ufisadi anaoufanya angeweza hata akiwa nje ya CCM na kushika remote!!!!!!!!! Sana sana angekuwa mchangiaji wa chama tu!!!!
 
"Uamuzi wangu wa kuachia nafasi zangu zote za uongozi nilizopata kwa tiketi ya CCM haukutokana na wala haumaanishi kukubaliana na shinikizo lililopotoshwa kuhusu azma ya utekelezaji wa dhana ya kujivua gamba, la hasha, bali dhamira ya dhati ya kuachana na siasa hizi uchwara (gutter politics) na kutumia muda wangu kushughulika na biashara zangu."
"Katika ulimwengu wa kibiashara wa leo, vita hivi ambavyo vinaweza kuonekana kuwa ni vidogo tu vyenye malengo ya kuchafuana kisiasa, vinakuwa na athari kubwa katika uhusiano wa kibiashara kuliko hata wale wasioelewa wanavyoweza kukadiria"
"mimi ni mfanyabiashara wa kimataifa."
"Baada ya kukaa na wanafamilia yangu, marafiki na washirika wangu wa kibiashara niliona halitakuwa jambo la busara hata kidogo kuendelea kuvutana na viongozi wa chama changu na wanachama wenzangu wa CCM katika mambo ambayo yanaweza kumalizwa kwa njia muafaka"Rostam Aziz kwa mujibu wa Fikira Pevu (13 july011)
Tujiulize huyu mtu kweli alikuwa kwenye siasa kwa lengo la kusaidia jamii au kulinda biashara zake ! kwani baada kashfa na tuhuma alizonazo zinaweza kuathiri biashara zake ameamua kuachia ngazi haraka ili kuendeleza michakato yake ya kibiashara.
Ushauri kwa watz na viongozi , uongozi ni kujitoa na kujitolea kwa watu walio kupa dhamana na sio eneo la kujinufaisha!
Mwisho haitoshi kujiuzulu kama kuna chochote cha Wtz alichochukua arudishe ili aende kwa amani hata akibadili uraia ni sawa 2!
 
Mh hao mapacha wawili itakua c kujivua gamba bali kujichuna ngoz au kujinyonyoa kama kuku
 
naoana sasa baadhi ya secta mishahara iatakuwa tarehe 88888 maana nasikia jamaa ndiye alikuwa anapay ,bado swala moja je alivyokula ataviacha au kurudisha vp jk haliko huko pwaaaaa hayaa chadema its your time p n' love
 
Swali:

a. Kwanini RA kajiuzulu - baada ya watu kusoma hotuba yake kuna mtu anaweza kusema ni kwanini hasa kajiuzulu?
b. Kwanini hakujiuzulu kabla ya leo?



MMKJJ, hayo ni maswali mazito na sidhani kama kuna anayejua undani isipokuwa RA pekee.

Kuna taarifa zisizo rasmi kuwa kwa karibu wiki mbili sasa RA amekuwa akijaribu kukutana na JMK na anashindwa kutokana na mihadi ya JMK kumpiga danadana.

Ilikuwa wakutane ama jana au leo wakati JK akiwa mapumziko Ngorogoro, lakini hiyo pia imeshindikana kwa kuambiwa kuwa Mzee yuko mapumziko, asubiri hadi baadaye.

Inasemekana pia RA kakutana na kushauriana na watu wasiozidi 5 hapa Dar na Dodoma kati ya jana na leo, na baadaye kufikia uamuzi huu.

Kuna mengi yanakuja, na sidhani kama aliye kwenye mapumziko Kempsinki analala kwa amani kweli.
 
Back
Top Bottom