Sizitaki mbichi hizi, Sungura akagumia,
Naona nafanya kazi, bila faida kujua,
Yakamtoka machozi, matunda akalilia,
Matunda akalilia, Sungura Nakuambia.
Dah alikuwa na listi ndefu sana ya anaowalipa[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"][/TD]
[TD="class: buttonheading"]Igunga yazizima, Rostam kujiuzulu
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"]Wednesday, 13 July 2011 20:57
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Baada ya Rostam kumaliza kusoma hotuba, Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Nzega, Daudi Ngutu, na Katibu wa Uchumi Kata ya Igoweko, Athuman Kanyama, walizirai na kupandishwa katika gari la Halmashauri ya kupelekwa hospitalini wakiwa katika hali mbaya.
Wakati Rostam akiwa njiani kuondoka kwenda Dar es Salaam wanachama wengine ambao ni Katibu mwenezi kata ya Chabutwa, Athumani Mihayo, Catherine Mabula na Zainabu Athumani walizirai.
Viongozi wa CCM waliokuwapo
Viongozi wa CCM wengi kutoka wilaya zote za mkoa wa Tabora walihudhuria ambao ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Igunga, Katibu Tawala wa Wilaya, Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Tabora, wajumbe wa kamati ya siasa wa wilaya na Baraza la Wazee la Wilaya na Mbunge wa Viti Maalumu, Munde Tambwe
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Sizitaki mbichi hizi, Sungura akagumia,
Naona nafanya kazi, bila faida kujua,
Yakamtoka machozi, matunda akalilia,
Matunda akalilia, Sungura Nakuambia.
- Next stop kwenye Sheria!, Bravo Nape!
Willie @ NYC, USA.
Sasa ni wakati mzuri wa kufuatilia tuhuma mbalimbali zinazomhusu, kwani sasa hivi hana kinga iliyokuwa inamsaidia
Dah alikuwa na listi ndefu sana ya anaowalipa
Mkuu Rostam hajasema anajivua gamba,bali amechoshwa na 'siasa uchwara' ndani ya CCM!ina maana hapa ukifikiria kwa umakini unaweza kujua moja kwa moja anayesemwa hapa ni Nape + Mkama hasa kwa kupenda siasa za uropokaji!angalia magazeti ya Rostam yanavyomponda vuvuzela Nape siku hizi.Kwa upande mmoja inaonekana Rostam Aziz ni "sacrificial lamb". Inabidi tufikirie kapata hasara gani kwa kujiuzulu? Bado ni tajiri mkubwa. Bado ana connections za kisiasa na access kwa viongozi wakuu wa nchi. Inawezekana kapewa kitu mpaka aka kubali kujiuzulu. Kapata hasara gani kwa kuachia nyadhifa hizo? Kiukweli ni haja pata hasara yoyote.Kwa upande wa pili hili ni jambo la kihistoria. Tunaweza kusema ni kiongozi wa kwanza kujiuzulu kutokana na public pressure. Nani alitegemea "untouchable" kama Rostam Aziz angejiuzulu? Pia hii ina wapa CCM jeuri ya kuongea. Watasema zile siku 90 zimeisha na magamba yameanza kujivua. CCM itatumia hii kama fursa ya kipropaganda kwamba kweli wapo serious.Ila swali la muhimu zaidi kujiuliza ni je is this too little to late? Je bado wanaweza kuinusuru chama? Kujiuzulu RA kunaisaidia vipi CCM kwa sasa? Time will tell.
kwa wana igunga tunasikitika kuachia ngazi kwa rostam, hatutapata mbunge kama yeye, kaleta maendeleo makubwa sana, hata kama wanasema ni fisadi, ufisadi wake ni mzuri kwetu maana zahanati tunazo, shule, umeme, tutaendelea kumpenda na kumuenzi. Ila hasira kali inamsubiri nape, asithubutu kuja igunga, wananchi tumelia sana sana na kusikitishwa kwa kuachia ubunge, nape hasira zetu zinakusubiri