kichomi
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 507
- 54
Tetesi zimekuwa dawa za kupunguza maumivu JF.Tumechoka na tetesi sasa tunataka habari kamili!!
Tetesi zimekuwa dawa za kupunguza maumivu JF.Tumechoka na tetesi sasa tunataka habari kamili!!
Ndesamburo ni mwaka wake wa ngapi huu kuwa mbunge??
Kujiuzulu haitoshi, na pesa yetu arudishe!
Hii sinema ndio kwanza inaanza; cdm kaeni mkao wa kula mfadhili anakuja huyo! Najua baada ya hapa ni kufanyiziana mbele kwa mbele, wale waheshimiwa wabunge waliofika hapo walipo kwa msaada wa huyu bwana mkubwa, jitukezeni mhesabiwe ili tumpeleke huyu bepari mbele ya sheria.
hakiyanani mods wakiamua kuzuia guests kufungua hii thread utaona idadi ya members ikiongezeka including new members.
There are currently 2480 users browsing this thread. (359 members and 2121 guests)
hakiyanani mods wakiamua kuzuia guests kufungua hii thread utaona idadi ya members ikiongezeka including new members.
Toa chanzo cha habari na mkutano utafanyikia wapi ili tuwe na uhakika isije ikawa ni kutaka kutupotezea muda. Na ikiwa kweli basi nategemea aachie pia ubunge
Huyo atakayesimamia mission zake naye wakimjua ni kula nae sahani moja mpaka wajue anafaidika na nini wakati hiinimovement kwa faida ya Taifa
ROSTAM ABDULRASUL AZIZ,Mbunge wa Igunga,Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM amejiuzuru nyadhifa zote ndani ya CCM pamoja na Ubunge wa Igunga.Taarifa rasmi aliyoitoa katika vyombo vya habari itawajia baadae............
mtani si ulimkubali Bashe wiki kadhaa zilizopita ?Nadhani yule raia wa Somalia (Hussein Basha) anajiandaa kugombea huku!
mtani si ulimkubali Bashe wiki kadhaa zilizopita ?
unaongea kifisadi ni ccm ndiyo imepelekea watu kubeba boxDah kweli tuna kazi ndefu sana!! wabeba box mpaka sasa hawaamini hii taarifa...!!This is confirmed wazee!!Bungeni ishatangazwa na Naibu Spika!!