DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,688
Nimesikia redioni clouds Kibonde anatangaza sasa sina uhakika ukichukulia mtangazaji keenness Kibonde. MWENYE Habari Kaniki I mean Kama kuna mtu alikuwepo kwenye hicho kikao atujuze basi
Kweli huyo ndio kesha achia nafasi hizo,lakini bado mengi yatafuata,manake ukinganganizi wake na marafiki zake umeiponza CCM kwenye jamii.Tena wakati anatangaza imesikika kwenye taarifa ya habari CLOUDS kama alikuwa ANAZOMEWA hasa aliposema anaachana na SIASA UCHWALA.