Rostam Aziz aachia ngazi CCM

Rostam Aziz aachia ngazi CCM

I doubt whether they will respond to this! Ni kweli wana gutter politics kwani kakosea nini? Leo unataka umtetee Nape na Chiligati?? Kuondoka kwa huyu jamaa ndani ya chama ni pigo kubwa kwani ndiye aliyeratibu kuingia kwa Kikwete ikulu. Nape hana jipya na hawezi kukisaidia chama zaidi ya kukibomoa. Kikwete naye angejiuzulu ili tuanze upya maana CCM is rotten!

Sometimes kuna wana JF hawawajui CCM,Nilipata kuwambiwa wana JF hiki ni CHAMA CHA MAPINDUZI,daima CCM kwenye FAUL zote wao daima neno MAPINDUZI huwa linachukua mkondo wake haswa ukiwa ni yule kichwa maji.

Wanatabia ya kubembelezana sana,kwa misingi HUYU NI MWENZETU,kama una akili wakikwambia kaa pembeni kwenye Soo [Scandal] yoyote inapotokea dhidi yao,ni vyema ukastep aside watajua jinsi ya kutetea mbele ya safari,kwani nia yao ni FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE.Ole wako uwe KICHWA MAJI na UBISHI USIOKUWA NA BUSARA,hapo ndio UTAWAJUA CCM,watakachofanya uwezi amini yani ni wale uliokuwa nao jana kula na kunywa nao.

Nilisema zama hizo kuwa RACHEL kwa CCM si chochote TIME WILL TELL,kwa CCM bado RACHEL wanamziki mnene sio ngoma ya watoto.Hapo ndio unawapenda CCM,hawaangalii LEO TU.
 
There is no point whatsoever at all to accord innocence to these grand thieves and eminent embezzlers of our wealth who resign after satisfying themselves with dirty-blood stained money of the poor of the poorest!

If it were in a country that knows what it is true accountability, Rostam would start a brand new chapter in court to prove his innocence. But in a place where justice is cheaply bought like in Tanzania Rostam goes out undisturbed after all you will not surprise to hear soon or later Rostam being congratulated and even grieved by some headless politicians and the laity!

We are still far from accountability and truth. Difficult decisions await us before we stop wasting our precious sweat to those we foolishly entrust leadership and robers like Rostam. Chenge, Lowassa, and many more
 
UMEFIKA WAKATI SASA AMA MHUKUMIWE KIFUNGO CHA MAISHA AU KUNYONGWA KULIKO KULIANGAMIZA TIFA LA TANZANIA NA magamba yenu!!Usually
when people are sad they don't do anything they just CRY over their
condition but when they gel Angry they bring about a change" (MALCOLM X)
 
Swafiiii sana. Muvi inaendelea na kama ni sinema hapo ndo kwanza ni trailler. Subiri kidooogo! Itafikia pazuri!
 
Nimesikia redioni clouds Kibonde anatangaza sasa sina uhakika ukichukulia mtangazaji keenness Kibonde. MWENYE Habari Kaniki I mean Kama kuna mtu alikuwepo kwenye hicho kikao atujuze basi
 
Anyway..Hii ni Tz na kwa hiyo siwezi kushangazwa na maneno ya mtu yeyote.

Ila binafsi nilishakiri kuwa RA ndiye mwanasiasa wa bora wa karne nchini Tanzania.

Ni mawazo yangu ya zaidi ya miaka 5 sasa!!
 
Rostam nje....Oyeeee!!! Kwa hiyo tatizo la umeme litakwisha kesho au sio?
 
Anyway..Hii ni Tz na kwa hiyo siwezi kushangazwa na maneno ya mtu yeyote.

Ila binafsi nilishakiri kuwa RA ndiye mwanasiasa wa bora wa karne nchini Tanzania.

Ni mawazo yangu ya zaidi ya miaka 5 sasa!!

Mkuu unapenda utani

Julius Nyerere

Sokoine

Dr Slaa

etc etc etc

Siamini kama umepokea bahashga ya khaki kutoka kwa Gambas
 
Rostam-Aziz.jpg
I'm sorry to say this lakini kila mtu anajua kuwa Independent thought is not a concept with which very many JF members...aka "GREAT THINKERS" are familiar or comfortable. Most here want to have their emotions stroked, to be told what they want to hear. They already know what they think. A different breed of JF member aka INDEPENDENT THINKER's A writer's job is to validate it, and if the poster doesn't, he is, depending on the ideology of the reader, a misogynist, a greeno CCM commie, or an operative for the JK establishment. All will agree that he is a no good SOB.

Either way some of us have still believe no matter how much minority we are, still believe in the presumption of innocence after all the United Republic of Tanzania isn't ruled by laws of the jungle. Unless anyone has a court ruling that found Rostam is gulty of the alleged wrong doings

Hi Mr TZ KINGSMAKER who will make our KINGS now! or will you do it behind the door?
 
Bado Lowassa (ufisadi), Chenge (ufisadi), Ngeleja (kutokufanya kazi yake), Malima (kutokufanya kazi yake, kuwa kama kanyabwoya tu au bendera!), Mwandosya (kutokufanya kazi yake na wananchi kukosa huduma ya maji).

Na wengineo wote wasiowajibika!
 
Mkuu Who is Down...???
One Has Escaped Scott Free (Sasa anaweza kuenjoy matunda yake ya Ufisadi bila kushikwa shati, wala hatafunguliwa mashtaka)
na CCM will take Credit kwamba Chama Chao Kinasafisha Uchafu

Its all Changa la Macho; na Sisi watanzania tunaendelea kuibiwa bila mtu yoyote kuwa punished...
Hivi hata hao wawili wakijiuzulu ni faida ipi atakayopata Mtanzania (keeping in mind they can continue to pull strings even when out of politics)

Kiongozi soma vizuri speech ya fisadi RA utaona ni mambo gani amezungumza, kuna suala la power struggles within ccm kwa ajili ya urais 2015.

Hapa nadhani amemsaidia rafiki yake kikwete kuweza kufanikisha mpango wa kusimika mrithi wake. ccm hawana la kuchukua credit hapa kwakuwa walishindwa kumuwajibisha hadi mwenyewe kaamua kujiondoa. Na uchafu bado umejaa ndani ya ccm na wananchi wataendelea kuwakalia kooni tu hadi wajivue gamba la ukweli.

Ni afadhali mara mia wakijiondoa kwenye nafasi zao za juu ndani ya chama kwa kuwa waliobaki watapata nafuu ya kuwazungumza na kuwasema vizuri kwani ni wachache waliokuwa na jeuri ya kusema ukweli pasipo kumung'unya maneno ndani ya NEC ya ccm zaidi ya makongoro aliyejaribu kujitutumua hivi karibuni.

Kwakuwa kuna power struggles, wakijiengua tu basi waliobaki hawatowaacha lazima wawasilibe kisawa sawa. Na ndio maana Lowasa kawaambia wafanye maamuzi magumu, na hii move ya Rostam kujiengua ni mtego kwa lowasa ambaye inasemwa kwamba anautaka uraisi 2015.

Kwahiyo kujiondoia kwenye uongozi wa juu wa ccm italeta ahueni kidogo kwa kuwa itakuwa rahisi kwao kushughulikiwa na ccm yao ikijaribu kujinusuru na ndo itakuwa tiketi ya ccm kuingia kaburini.
 
Back
Top Bottom