Rostam atimkia Ulaya

Rostam atimkia Ulaya

Kama Daudi Balali mzaliwa wa Njombe alikwenda Marekani na akafa na kuzikwa huko nini Rostam bwana!
 
Du.kumbe wakati tunaletewa wimbo wa jairo mwenzetu anakula kona?
Sasa tutamuacha Jairo tujadili mtoro kwanza.
 
watatimuka wengi si nchi wameshaifanya kichwa cha mwenda wazimu hii.
 
baadaye tutaambiwa "the guy is seriously sick" kisha yupo kwenye coma... Kisha amefariki...na amechomwa na majivu yake yatatupwa baharini na baadhi ya majivu kurudishwa igunga...ambapo kwenye msiba wa majivu bandia baadhi ya watu wa igunga watazimia... Sanaa et all...
kama wale wamama walojitia aib wkt jamaa anajivua gamba ningekuwa mkaazi wa huko igunga ningewavzia hata kichochoron niwapopoe mawe,yaani huyu kuchkuch katupora hela zetu af wao wanamlilia shenztype
 
Afadhali akimbie mkono wa serikali wasije ku mkolimba,ikiwezekana akifa azikwe huko kama Balali na yule mhindi wa wizara ya fedha enzi ya nyerere aliyezikwa Canada badala ya TZ.anaitwa Amir Jamal.
 
Hawezi kukamatwa kwa sababu ni Serikali ya JK pamoja na Waziri Ngeleja waliomsaidia kuuza kampuni ya DOWANS kwa Symbion, hivyo anakwenda kula mikuku kwa kwenda mbele. Katuachia giza letu.
 
Mlioko Vodacom kaeni macho, Rostam akitoa hela zake mmeliwa na manyoya! poleni wadau.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom