Halafu kwenye "mazishi" yake tutaambiwa tuende kwa kadi ya kiingilio!Baadaye tutaambiwa "THE GUY IS SERIOUSLY SICK" kisha yupo kwenye COMA... kisha amefariki...na amechomwa na majivu yake yatatupwa baharini na baadhi ya majivu kurudishwa Igunga...ambapo kwenye msiba wa majivu bandia baadhi ya watu wa Igunga watazimia... SANAA et all...
Katika Gazeti la Mwanahalisi Ukurasa wa mbele umeandika "Rostam ajichimbia Ulaya". Imenikumbusha miaka ambayo CCM walisema "hawa wapinzani wanataka kuleta vita, ikianza wao watakimbilia nje".
Sasa wakati umewadia. Leo waliofilisi nchi yetu wameanza kutimka. Badi JK, Lowasa, Chenge, Hosea, Riziwani ....
Kumbe hawakuwa wanamaanisha wapinzani bali walimaanisha wao wenyewe
QUALITY
Ni pigo kubwa kwa Saidi Kubenea sijui sasa atauza habari
Ni pigo kubwa kwa Saidi Kubenea sijui sasa atauza habari
Ni pigo kubwa kwa Saidi Kubenea sijui sasa atauza habari
Mbona bado habari zipo nyingi za wanamagamba sasa atahamia kwa David Jailo, Nape, Chenge.
Hivi kampeni meneja wa JK 2010 yule msomali yupo wapi?
Magamba na Magwanda wote ni watumwa wa Lowassa, mnambabaikia sanaKubenea amefanya kazi nzuri sana, amemng'ang'ania jamaa pamoja na mihela yake mpaka kakimbia. Next Lowassa........
Ni pigo kubwa kwa Saidi Kubenea sijui sasa atauza habari