jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,615
- 4,389
Nyamaza kwa usiyoyajua sio ujingaMtoto WA baba WA taifa amefia Dispensary alipolazwa kwa muda mrefu.
Nilimfundisha mwanae miaka ya nyuma kidogo maisha ya huyu mtoto WA Nyerere yalikuwa ya chini sana sana.