TANZIA Rose Nyerere, Mtoto wa Mwisho wa J.K Nyerere afariki dunia

Mtoto WA baba WA taifa amefia Dispensary alipolazwa kwa muda mrefu.

Nilimfundisha mwanae miaka ya nyuma kidogo maisha ya huyu mtoto WA Nyerere yalikuwa ya chini sana sana.
Nyamaza kwa usiyoyajua sio ujinga
 
Conclusion ninayoiona Ni kuwa Kuna kilio Cha Muda mrefu Cha watanzania kutaka familia hii ipewe heshima ya kipekee kabla hawajatoweka wote tunaasili ya ki monarch hivyo tunawatazama Kama ma Prince lakini sivyo wanavyo chukuliwa, vyeo wanalimbikiziwa watoto wa wakuja that is not Honour
Wangepewa vyeo bado mngelalamika sana tu
 
Sad. First family hakika ni kwa nini kama imetelekezwa? Wajue tu kuwa wanayofurahia sasa ni matunda ya baba wa Taifa hili. Hivi serikali huwa haihusiki na hizi familia? Mbona wengine mnapeana mansions siku Chache zilizopita? Inaniuma mno.
Wametelekezwa kivipi mkuu? Kwani Sheria za nchi zinasemaje kuhusu familia za Marais wastaafu?
Ni kwamba watoto watatunzwa na serikali wapewe kazi, chakula na malazi? Na hata wakiolewa huyo mume nae asaidiwe kutunza familia yake?
Hebu tueleweshe tafadhali
 
Manyerere na Nyerere wapi na wapi?
Anaweza kuwa ni rafiki wa familia, lakini hana undugu na akina Nyerere. Manyerere mwenyewe nadhani ni mtu wa Mgango au wa Suguti hivi ingawa sina uhakika, lakini ninajua kuwa siyo mtu wa Butiama huyo.
 
Wametelekezwa kivipi mkuu? Kwani Sheria za nchi zinasemaje kuhusu familia za Marais wastaafu?
Ni kwamba watoto watatunzwa na serikali wapewe kazi, chakula na malazi? Na hata wakiolewa huyo mume nae asaidiwe kutunza familia yake?
Hebu tueleweshe tafadhali
Naomba tu niishie hapo Mkuu. Mwenye macho haambiwi tazama. Tunao marais 4 wastaafu kati yao 2 Marehemu. Tumebakiwa na Mwinyi na Kikwete. Tofauti zipo mpaka recently😊😊😊😊
 
Naomba tu niishie hapo Mkuu. Mwenye macho haambiwi tazama. Tunao marais 4 wastaafu kati yao 2 Marehemu. Tumebakiwa na Mwinyi na Kikwete. Tofauti zipo mpaka recently
Ongea tufahamu na uache majungu. Kwani mama nyerere hatunzwi? Ukute matibabu ya Rose ni serikali imegharamia.
Halafu sidhani kama sheria ya kutunza familia za Marais inahusu pamoja na watoto na waume zao.
Sema ni haki gani wamenyimwa kama watoto wa Rais mstaafu tuelewe sio unaleta majungu
 
Yeye alikuwa analisha watoto wake,kuzaa taifa zima lenye watu zaidi ya milioni Thelathin si kazi ndogo.Anasema ukitembea barabarani ukakutana na mtu ana njaa ama yuko uchi inakuuma ,unasema huu Ni mzigo wangu.Kwa jinsi alivyokuwa utilitarianist asingeweza kujilimbikizia Mali.Alitaka sisi sote watoto wake tufanane,tusiwe na matabaka.
Bahati mbaya hakuacha legacy, alipotoka madarakani na yote ya principle and integrity were flushed down the toilet drain.

Hakuacha mifumo ya kushughulika na warithi wake ambao haikuwauma kunenepa wakati walipa kodi wanaokulisha ni masikini wachafu wauza ndizi kwenye ma stendi ya mabasi across the country.

Akaandika Katiba inayotengeneza imperial president with water tight immunity againts any and all sheninigans.
 
Kulikuwa kuna haja gani ya kutaja Jina la Hospitali?
Ulitaka wataje kafia Gheto kwako? Kenge kweli wewe.... Baba yake tuliambiwa kafia St. Thomas Hospital... wewe ni nani kwani au ulitaka watangaze ili tuwe na maswali lukuki?
 
Back
Top Bottom