Segito wa Kalenga
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 609
- 855
Mama Maria Nyerere ana damu kali.mtoto kamfanana balaa
Mama Samia hapa alikuwa havai Hijab.View attachment 1665755 Rest In Peace Rose!
Unataka ipewe uzito ganiFamilia ya Mwalim haipewi uzito inaostahili. R.I.P Rose
Sijamgundua kbs, umri ukisogea unarudi kwa Muumba wakoMama Samia hapa alikuwa havai Hijab.
Ni Mmoja wa wanafamilia Waandamizi kabisa kama vile ilivyo kwa Mzee Joseph Butiku.Manyerere ni nani katika Familia ya Mwalimu ?
Rais Mstaafu Kikwete akitangaza Nafasi ya Kazi ya Msemaji wake / Afisa Habari wake nakushauri usiache Kuiomba kwani unajua Kumsemea mno.Kikwete atakwenda kumpa pole mama Maria kwani Mwalimu alimlea sana!!! Hata hivyo Kikwete kwenye mambo ya misiba ya watu aliowafahamu huwa hakosi akipata nafasi; juzi nilimuona kwenye msiba wa Costa Ndunguru [ former classmate wake]!
Rais Mstaafu Kikwete akitangaza Nafasi ya Kazi ya Msemaji wake / Afisa Habari wake nakushauri usiache Kuiomba kwani unajua Kumsemea mno.
Sehemu ya taarifamtu akifa ukitaja hospital huwa inasaidia nini hasa?
Manyerere na Nyerere wapi na wapi?Manyerere ni nani katika Familia ya Mwalimu ?
Poleni wafiwa kwa msiba huu mkubwa wa mpendwa wenu Rose!!!Bila shaka huyo ndiye Rose, huyo Anna kafanana sana na marehemu babaye....
Rose aliye na miwani, Anna wa kulia
Nani hajaonyesha kujali mkuu??.Inasikitisha kuona hakuna hata anaye jali basi haina shida pumzika kwa amani Rose.
Kulikuwa na haja gani ya kutokutaja jina la hospitali?.Kulikuwa kuna haja gani ya kutaja Jina la Hospitali?
Afya mgogoro???!!!,Ndo ipoje hiyo?.Kuna mmoja nilimfahamu alikuwa akiishi mikocheni alikuwa na afya mgogoro hivi kwa muonekano, sijui ndio huyo? RIP
Ni mtoto wa kaka yake Nyerere kwa mama wa kambo.Manyerere na Nyerere wapi na wapi?
Jf hadi leo hamjaipata hio taarifa rasmi?Umuofia Kwenu wana JF,
Kheri ya Mwaka Mpya!
Mtoto wa mwisho wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Rose Nyerere amefariki leo mjini Dar es Salaam.
Taarifa za duru za uhakika zinaarifu kuwa Rose amefariki katika hospitali ya Mzena Jijini Dar es Salaam ambako alilazwa kwa muda mrefu. Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihidimiwe.
View attachment 1665226
KK,
MINJINGU.
Dar es Salaam. Familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere imepata msiba wa mtoto wao Rosemary Nyerere aliyefariki jana jioni jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa wanafamilia aliyejitambulisha kwa jina la Sophia Nyerere ameandika katika mtandao wa Instagram kuwa shangazi yake amefariki.
Mwananchi limewatafuta baadhi ya wanafamilia akiwemo Manyerere Jacton aliyethibisha kuwa ndugu yao amefariki.
"Ni kweli dada amefariki jioni hii, lakini taarifa rasmi itatolewa," amesema Manyerere.
Rosemary alikuwa miongoni mwa watoto saba wa Mwalimu Nyerere
Kikwete ana miaka 70 sasa,ina maana wewe ni mkubwa kwake?? Mbona sasa inakua hivyo tena!
Mtoto wa Rais anaishi na mmewe kotas za NHC Keko Magurumbasi ??!!! Aiseeee..Mike wake aliitwa David Mwamakula alikuwa ni Mhasibu Tanesco HQ na waliishi Keko NHCila wakati anafariki walisha tengana kitambo.
Yeye alikuwa analisha watoto wake,kuzaa taifa zima lenye watu zaidi ya milioni Thelathin si kazi ndogo.Anasema ukitembea barabarani ukakutana na mtu ana njaa ama yuko uchi inakuuma ,unasema huu Ni mzigo wangu.Kwa jinsi alivyokuwa utilitarianist asingeweza kujilimbikizia Mali.Alitaka sisi sote watoto wake tufanane,tusiwe na matabaka.Mtoto wa Rais anaishi na mme wake kotas za NHC Keko Magurumbasi ??!!! Aiseeee..
Ninachojua marehemu pia aliishi kwenye vi flats vya NHC Upanga mitaa ya Palm Beach, I guess baadae aliondoka huko Keko Machungwa.....
Inakuonyesha Nyerere alivyotaka kuishi sawa na watu anaowaongoza, masikini wachafu.
Kuna Rais mmoja mstaafu watoto wake wanamiliki ma apartment buildings na ma condominiums Mikocheni na Sea View!
Sasa unajiuliza kama Rais anaweza kupata ukwasi huo kihalali (mafao, mshahara, mfuko wa Rais, travel allowances, zawadi za matajiri) huyo Nyerere yeye pesa yake ya Urais miaka 25 alikuwa anaipeleka wapi, kuhonga ????