Rose Muhando ajiunga rasmi CCM

Rose Muhando ajiunga rasmi CCM

Huyu si tuliambiwa amekuwa TEJA siku hizi hadi ikapelekea akabakwa. Duh!! CCM imekuwa kimbilio la MATEJA bado na Ray C, Chid Benz na yule Nando wa Big Brother tutasikia wanajiunga na CCM.
 
Na usipokuwa na kadi yao tegemea kusumbuliwa sana na takukuru, na kesi kuwa sio raia, hii ndo tz yetu iliyobarikiw maajabu ya kila Namna, bt all in all ukitenda jema litazaa tuu, na ukitenda baya pia litazaa tuu, it's a matter of time.
ni nchi ya chama kimoja
 
wa lumumba mbona mnaweweseka sana ? kwani ni ishu rose kujiunga ccm ? kwani mwanzo alikua chama gani ?
 
View attachment 653617 Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho unaofanyika Mjini Dodoma.

SOURCE: UKOMBOZ BLOG
Leo ni Rose na wengine pia wamo na wanataka kupata viti maalumu kupitia chama hiki.Tuseme kila star Wa nchi hii ni mwanachama Wa hiki chama.Wachache wameonesha ni wapinzani,hata hivyo hawana msimamo wanatangatanga tu
 
Baada ya kuugua muda mrefu na kuona biashara ya injili hailipi tena.
Yuko sawa amechanga vema karata zake kiukabili ukata uliokuwa umepiga kambi kwake.

Swali: katoka chama kipi?
mbona wapo kibao tu Wa Aina yake? wanabadilisha fani kwa kutumia umaarufu wao
 
View attachment 653617 Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho unaofanyika Mjini Dodoma.

SOURCE: UKOMBOZ BLOG
Nyie waimba injili ni nani aliyewaloga hata mkatamani kuwa wanasiasa? Mbona mnakimbia huduma Mungu aliyowapa? Sasa mtawezaje kumuimbia Mungu huku mnaimba na siasa? Mbona mnawakwaza wasikilizaji wa nyimbo zenu za Injili? Kwa hiyo mmechagua kuitumukia siasa? Mmebadilika kuwa wanasiasa? Injili mmemuachia nani?
 
Kwani ulitegemea ajiubge na chama gn mtu wa Dodoma?
 
Back
Top Bottom