neutralWakati unasikiliza alikuwa chama gani?
Kwani alikuwa wapi kabla..!View attachment 653617 Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho unaofanyika Mjini Dodoma.
SOURCE: UKOMBOZ BLOG
ila wewe mbona hauko neutral?neutral
Yaanii,kuna watu kwa kuchanganya mafaili hawajamboSasa chadema wameingiaje hapo?
picha ya zamani tupia ya hivi majuzi,amepotea sasa anatafuta kikiView attachment 653617 Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho unaofanyika Mjini Dodoma.
SOURCE: UKOMBOZ BLOG
jiunga kama unataka mambo yako yanyoroke.juzi tulipeleka viazi mjini basi kwenye fuso tulifunga bendera za ccm zikawa zinapepea kweli nakwambia njiani tulikuwa tunapita kama msafara wa raisi,polisi wanatupungia tu mikono hadi chalinzeKuanzia leo naslimu na kuwa mccm..
Ukipokelewa naomba unitagiKuanzia leo naslimu na kuwa mccm..
Baada ya kuugua muda mrefu na kuona biashara ya injili hailipi tena.View attachment 653617 Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho unaofanyika Mjini Dodoma.
SOURCE: UKOMBOZ BLOG