Mbasembase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,057
- 4,608
Tanzania ya wote ndugu yangu umesahau CHADEMA walifanya press conference yavkumkaribisha mvuta bangi wema ama hukuliona hilo?si nasikia teja wa ngada siku hizi, au??
Tanzania ya wote ndugu yangu umesahau CHADEMA walifanya press conference yavkumkaribisha mvuta bangi wema ama hukuliona hilo?si nasikia teja wa ngada siku hizi, au??
Huyu ni mjanja sababu anajua atasaidiwa kuliko Wema aliyekimbilia chadema. Naichukia sana ccm lakini nikiona mtu mwenye matatizo kama huyo rise anaenda ccm namuona ana akili kuliko kwenda chadema ambako utajimaliza.Toka awe teja wa ngada naona na muziki wake nao umepotea. Bora akimbilie tu CCM ili kuchukua mikoba ya Komba.
Natabiri tu, Rose Mhando kuja kuchumbiwa na Chid Benz.
Chadema imetoka wapi tena?Tanzania ya wote ndugu yangu umesahau CHADEMA walifanya press conference yavkumkaribisha mvuta bangi wema ama hukuliona hilo?
Chadema imetoka wapi tena?
afu Wema sasa hivi mwanachama wa chama gani vile??
Kwani alikuwa chama gani kabla, naView attachment 653617 Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho unaofanyika Mjini Dodoma.
CCMKabla alikuwa chama gani? Ova