Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,844
Hasira za nini?Mwaka huu hasira zitawaua
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hasira za nini?Mwaka huu hasira zitawaua
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Amesha iasi injiliSiyo dini na siasa bali ni nyimbo na siasa kwani kuna dini hapo..!!
NilKwani alikuwa chama gani?
Haleluya!!!View attachment 653617 Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho unaofanyika Mjini Dodoma.
SOURCE: UKOMBOZ BLOG
Ni mgogo, hajaolewa ila alizaa na baba paroko!hivi huyu mwanamke n kabila gan au hajaolewa
KULE NI BAHARI YA MATAPELI YEYE HATAONEKANA.Huyu si ana tuhuma za utapeli, kwa hiyo akisha jiunga huko tuhuma zinakufa automatically?
Ameenda kupaka grisiBaada ya kuugua muda mrefu na kuona biashara ya injili hailipi tena.
Yuko sawa amechanga vema karata zake kiukabili ukata uliokuwa umepiga kambi kwake.
Swali: katoka chama kipi?
Wafuasi wa mwampamba haoHuyu si tuliambiwa amekuwa TEJA siku hizi hadi ikapelekea akabakwa. Duh!! CCM imekuwa kimbilio la MATEJA bado na Ray C, Chid Benz na yule Nando wa Big Brother tutasikia wanajiunga na CCM.
Ukiwa na tuhuma yoyote kubwa jiunge CCM,
Huyo asikusumbue kanunua simu juzi tu.Na hapo alipo hana analojua anabisha kingosha ngosha tu.Hajui lolote huƴoKwani huyo dada naye alikuwa Chadema?
HUYU SI ALIKUWA CCM NA MWAKA 2015 ALIMTUNGIA WIMBO MWIGULU NCHEMBA, AU MIMI NIMEDESAView attachment 653617 Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho unaofanyika Mjini Dodoma.
SOURCE: UKOMBOZ BLOG
Anakajumɓa hapa isamilo mwanza jirani na kwa mama migiro. Hana mmehivi huyu mwanamke n kabila gan au hajaolewa
Unajua walijua kuna mbunge ƴule atajiunga nao na diwani wao roz mhanɗo kumɓe holaaaaaaaWameishiwa hadi kumbeba rozi baada ya kumkosa mbunge yule.....
Uko sahihi mkui hijadensaHUYU SI ALIKUWA CCM NA MWAKA 2015 ALIMTUNGIA WIMBO MWIGULU NCHEMBA, AU MIMI NIMEDESA
Kweli kabisa na fursa ndio tunahitaji. Ccm oye.KUJIUNGA CCM NI FURSA KWA SASA TANZANIA, UKIPATA HIYO FURSA YA KUONWA USIIACHE...