Rose Muhando ajiunga rasmi CCM

Rose Muhando ajiunga rasmi CCM

Hivi hakuwa CcM kumbe pamoja na kuwa na kashfa historia chafu kama ya CCM
 
CCM kwa kuokoteza tu hawajambo baada ya kutolewa nishai na Upendo Peneza wameambulia huyo cha p
 
Historia yake inamruhusu afanye hivyo.

Muda si mwingi ataanza kuimba nyimbo za kidunia.
 
Tokea mwaka 2015 ulikuwa mwanachama hair wa chama chetu cha mapinduzi na taarifa zangu hazionyeshi kuwa hapa katikati umewahi kuhama chama

Tangu kipindi hicho ukiimba nyimbo za kumpigia kampeni Mwagulu Chemba kwa kutumia nyimbo ulizotunga mwenyewe ili ateuliwe kugombea urais, haukuwahi kutangaza kukihama chama hiki.

Nimeona niweke sawa taarifa zinazogaa mitandaoni kuwa umejiunga na ccm Jana wakati tokea enzi nakujua wewe ni mwanachama wa ccm
Katibu c.c. M.
 
View attachment 653617 Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho unaofanyika Mjini Dodoma.
Mungu alishampiga laana huyu mama kitambo sana , ndio maana akmuondolea kipawa cha kuimba , akambakishia mafunzo ya mgambo tu , uliona wapi kwata kwenye nyimbo za injili ?

Ukijihusisha na ccm tu ni kama kujimaliza mbele ya Mungu .
 
Back
Top Bottom