Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,502
- 23,587
Inawezekana.
MAPEPO hayana baunsa, maana hata kwenye maandiko matakatifu tumepewa visa vyao (Mtume Muhammad S.W kipenzi cha mungu, alisha testiwa, na akajaa) sembuse sisi wa sasa hivi.
Ukizingatia UNAFIKI sasa hivi ndio kama DINI mpya Tanzania (wana CCM). Mtu akienda kwa FUNDI kukutandika msumari, unajaa vizuri bila hata pingamizi
MAPEPO hayana baunsa, maana hata kwenye maandiko matakatifu tumepewa visa vyao (Mtume Muhammad S.W kipenzi cha mungu, alisha testiwa, na akajaa) sembuse sisi wa sasa hivi.
Ukizingatia UNAFIKI sasa hivi ndio kama DINI mpya Tanzania (wana CCM). Mtu akienda kwa FUNDI kukutandika msumari, unajaa vizuri bila hata pingamizi