hahahahaa. Mkuu naona ulikuwa unapaa na pipa na Romney angani.
Sie tulikuwa on the ground.
Before Obama, ni Rais gani wa Marekani ambaye alishakuwa re-elected wakati hali ya uchumi ukiwa mbaya hivi?
Mzee sasa vipi; utabiri wako umekwendaje?
unajua kuna uzuri na ubaya vile vile... wamecall election mapema hivi naamini ni strategy.. nikiwa mimi Romney siconcede mapema.. nasubiri with 100% reporting hasa kwenye battleground states.. to me its all interesting... maana kama kweli Romney atapata popular votes then kuna ujumbe mwingine ndani ya ushindi wa Obama.
Guess work yangu iliangalia kama Romney angeweza zile states nilizozitaja ambapo matokeo so far inaonekana hajashinda. Asingeweza kushinda bila kushinda WI, OH, FL au VA... which it seems is exactly what happened.
.That's my guess
Pole Mwanakijiji kwa guess!
Thank you for guessing!Kama uchaguzi hautakuwa na drama za 2000 baso Mitt Romney atashinda urais jwa kati ya 52% ya electoral votes. Obama hata hivyo anaweza kushinda popular votes. Kwa kufuatilia hizi siasa Romney atashinda VA, WI na OH pamoja na FL nai have strong feelings kuwa atachukua PA.
That's my guess work
Nadhani imeenda as I thought.. Romney angeweza kushinda... endapo angeweza kushinda majimbo hayo niliyoyataja kwenye guess yangu. He didn't. Ushindi wake kwa maoni yangu ulitegemea ushindi katika majimbo hayo.
Watu mmesahau sana 2000 Florida baada ya vyombo vya habari kutangaza kuwa Al Gore ameshinda FL na baadaye usiku wakageuza. Hii ya kuiita Ohio mapema na hata Michigan inaweza kuwageuka mtashangaa.. so far.. I'm resigned kuwa Obama kashinda however... uchaguzi wa Marekani bana..
Wataanza "We screwed up.. hold on a minute".. Obama akiwa makini hatozungumza mapema... at least hadi kwenye saa saba hivi... kwa sababu kwenye hizo 275 wamempa na Michigan yenye kura 18..
Una utani ww.....anyway kwa lugha nyingine hypothesis fail to project Mitt as a WINNER so whatWatu mmesahau sana 2000 Florida baada ya vyombo vya habari kutangaza kuwa Al Gore ameshinda FL na baadaye usiku wakageuza. Hii ya kuiita Ohio mapema na hata Michigan inaweza kuwageuka mtashangaa.. so far.. I'm resigned kuwa Obama kashinda however... uchaguzi wa Marekani bana..
Wataanza "We screwed up.. hold on a minute".. Obama akiwa makini hatozungumza mapema... at least hadi kwenye saa saba hivi... kwa sababu kwenye hizo 275 wamempa na Michigan yenye kura 18..
With 61% reporting in Michigan Romney bado anashikilia 50%
Obama currently ana 281 electoral votes, so that you know...
Nadhani imeenda as I thought.. Romney angeweza kushinda... endapo angeweza kushinda majimbo hayo niliyoyataja kwenye guess yangu. He didn't. Ushindi wake kwa maoni yangu ulitegemea ushindi katika majimbo hayo.
Watu mmesahau sana 2000 Florida baada ya vyombo vya habari kutangaza kuwa Al Gore ameshinda FL na baadaye usiku wakageuza. Hii ya kuiita Ohio mapema na hata Michigan inaweza kuwageuka mtashangaa.. so far.. I'm resigned kuwa Obama kashinda however... uchaguzi wa Marekani bana..
Wataanza "We screwed up.. hold on a minute".. Obama akiwa makini hatozungumza mapema... at least hadi kwenye saa saba hivi... kwa sababu kwenye hizo 275 wamempa na Michigan yenye kura 18..
With 61% reporting in Michigan Romney bado anashikilia 50%
Lakini huyu Carl naye anatutafutia aibu tu....aaaarrrghhh....ngoja nikapumzike....maana hata usingizi siwezi kupata.......damn!!
MZEE WACHA KUWA KAMA MONDAY MORNING QUOTA BACK. ULE MANENO YAKO NA UTABIRI WAKO. MIMI NAKUJA DC JANUARY 2OTH FOR INAUGURATION
POLE SANA
He is only interested in Ohio, not Michigan. Even if Romney does not concede Ohio, Obama will win election with Colorado victory