romantic words

Hahaha.

Naona wewe huwa unatanguliza muamala kisha unauchuna.

Hadi wanakusifia kwa comment pale juu. Ama kweli ukichelewa nyakati nazo zinakuacha.
Ha ha ha ha mzee miamala haina mbabe itangulize tu utasikia unaambiwa....

" why unanifanyia hvi hujui naumia usirudie tena siku nyengne love u bebiboo"

Hapo shuhuli ishaishaa
 
Hapo upo kitandani unamwambia Bae unasubiri afanye nini? Achomeke?

Namaanisha chaja kwenye cable lakini.

Watoto wa kitanga mpo romantic.


joanah sijakuona hapa.

Hahahah akichomeka huku anaongea ni hatari ujue?
Bora achomoe kwanza afanye mambo mengine halafu achomeke

Ila hata mimi niko romantic ujue japo sijatokea Tanga
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom