Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,141
- 8,788
Mengi na J ntuyabaliwe ni watu wazima na pesa lakini wana romantic wordsHayo maneno tunawaachia watoto wa shule umri huu nitafute romantic words kwel??
Mengi na J ntuyabaliwe ni watu wazima na pesa lakini wana romantic wordsHayo maneno tunawaachia watoto wa shule umri huu nitafute romantic words kwel??
hii sms tamu sana
Unafikir.msamaha anaombwa jackie ni wa kupostiwa twiter? Au unahis mapenz yao yalianzia kwenye romantic words enhew?Mengi na J ntuyabaliwe ni watu wazima na pesa lakini wana romantic words
Muhindi kulipa hela hiyo shida sana labda nipunguze sifuri then nigawanye kwa mbili
Kumbe ww muhindindo maana bahili...hyo ht kufanya pedicure haitoshi ujue..!
Kuishi kwa amani ni pamoja na kujikuna unapoweza sisi OG hatuwezi kufake muhindi analipa 5600 kwa masaa 9 nikikutumia hiyo 5k inatosha kufanya manicure
Tanzania ya viwanda
HahahaI love u crazy
HahahaaaHahaha
Mengi anapenda sana kusema hivyo!inabidi K lyin amfundishe maneno mengine!
😂😂6GS5168BOE7 Imethibitishwa. Tsh100,000.00 imetumwa kwenye namba 07....... tarehe 01/3/19 saa 4:40 PM. salio lako
Huu ndio msamaha wa ukwel.....