Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,005
- 150,530
Hapana sio hivyo ulivyoelewaWala usiofu
Nimehisi kuelewaa
Mc garab,gara B
Tunaenda wote unaniachaje kwa mfanoAminaaa
Naenda zangu Zimbabwe
Hauna passport ...au utaenda boda to bodaTunaenda wote unaniachaje kwa mfano
Nitumie kivingine basi, me kwangu haifunguki hiyo kitu.. Watalam wa IT mkuje basi huku, umuhimu wenu nimeuona leo. Nina kiu balaa na hayo makitu...Hii couple imetrend sana siku mbili hizi. Ila wamejua kutunyoosha.
Pass ninayo Baba D jaman mbona unanifanyia hiviHauna passport ...au utaenda boda to boda
Hajaelewa cuzoo ujue huu uzi wako najuta kuchangiaHata mimi najua shemeji yangu hajaelewa![]()

Hata kama aiseee lakini salute kwaoMnatakiwa mjue tofauti ya romantic na maigizo ya kuwa romantic.hapa ndio wanawake wanakosea wanaume wengi walio romantic in public ndio wanaowatenda wenziwao.ni cheaters wazuri sana.kwa hiyo be careful.trust me.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe na asubh njema...Pass ninayo Baba D jaman mbona unanifanyia hivi
Si Mchezo..Ila wamejua kutunyoosha![]()
Nimeelewaa mpaka nimepitilizaaaHata mimi najua shemeji yangu hajaelewa![]()
Kumbe hapa sio kf....Hajaelewa cuzoo ujue huu uzi wako najuta kuchangia![]()