Sipati taswira ya mtombano wa hiyo siku baina yao, ukute walifanya hadi unahisi harufu ya viungoHahaaaa alikuwa ana kiu sana
kwani ni wakina nani hawa?Mc kajua kuwachombeza si mchezo walikuwa on fire![]()
haahaaahaa..mi ndo mana jana nkaja na kathread kangu mwanaume awe romantic...umeona sasa eeh?Nimewafollow huko insta wako private afu si mastar walaa ila wamevunja rekodi. Mc atafanya tutamani kuolewa upya![]()
![]()
![]()
![]()
Kabisaaa ni Romantic haswa yani wote wajifunze kwa huyu. Hii ni tafsiri kuwa hawa wamependana kweli. Yani hawaigizi sababu ni harusi wanahisia kweli. Hii ndo tafsiri ya wet kisshaahaaahaa..mi ndo mana jana nkaja na kathread kangu mwanaume awe romantic...umeona sasa eeh?

mweehh...kweli..sio mapenzi ya kuigiza.Kabisaaa ni Romantic haswa yani wote wajifunze kwa huyu. Hii ni tafsiri kuwa hawa wamependana kweli. Yani hawaigizi sababu ni harusi wanahisia kweli. Hii ndo tafsiri ya wet kiss![]()
![]()
