Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

The bold,sweettablet ,
Mwanzoni mwa makala hii nilijenga hoja kwamba si jambo jepesi sana kuwa bilionea. Unaweza kuwa tajiri… milionea, hakuna shida wala shaka. Lakini kutengeneza utajiri wa kufikia dola bilioni moja na zaidi ni lazima ukubali mikono yako kuchafuka ‘vumbi’ kidogo. Muulize Mo Dewji, msome Gates na alichowafanyia IBM na Steve, chunguza vifo vilivyotokea mwanzoni kwa kuanzishwa kwa Facebook na alichokifanya Mark, muulize Aliko Dangote, teta na akina Motsepe na familia ya Gupta pale Afrika Kusini.
Wote hawa hawawezi kukataa kwamba “behind every great fortune lies a great crime.” Kila utajiri una ukafiri nyuma yake.

MWISHO

H.B ANGA “THE BOLD”

To Infinity and Beyond



Nilikuandikia kuwa ukiwa muongo, au ukiwa na maarifa na taarifa kidogo,, Jifunze sana kutunza kumbukumbu.
REJEA COMMENT YANGU NO. 1022.


Uliandika kuwa mauji hayapo Ulaya, Afrika, kama ilivyokuwa huko Russia kwa ulimwengu wa sasa ila sehemu yako hii ya mwisho umeonyesha waziwazi kuwa Uingereza, watu wanauawa, na unahitimisha kwa kutaja majina na nchi ambako mambo hayo yanafanyika.

Wewe ni uchwara katika intelijensia na hauna connection yoyote na mtu wa intelijensia bali wewe ni mlamba viatu vya watu ili wakupe taarifa ila unapewa taarifa uchwara.

Eti ,, unajinadi kwamba una taarifa zote za kiintelijensia ya nchi za Afrika Mashariki.

Boy, remember ; "Always, I don't acknowledge the mess"
Poise, najua mwimbaji ni wewe. Aliyetunga taarabu yako nani? Aliyetia muziki nani! Wenzako akina Mzee Yusuph huwa wanawataja!
 
sweettablet, post: 33270389, member: 259334"]
Poise, najua mwimbaji ni wewe. Aliyetunga taarabu yako nani? Aliyetia muziki nani! Wenzako akina Mzee Yusuph huwa wanawataja!
[/QUOTE]

Ufahamu wangu ni wa kusimamia na kuongoza watu 1 Billioni wasomi wa ngazi ya uzamivu (PhD) na wenye sifa ya kiprofesa katika taaluma.

Kwa hiyo mtu yeyote aliye na unyafuzi wa kiakili hawezi kuona ninachokiona au kuandika ninachokiandika hapa.

Wewe endelea kumezeshwa chibuku ; tatizo lako ni unyafuzi wa kiakili ulioupata wakati unazaliwa!
 
The bold,sweettablet ,
Mwanzoni mwa makala hii nilijenga hoja kwamba si jambo jepesi sana kuwa bilionea. Unaweza kuwa tajiri… milionea, hakuna shida wala shaka. Lakini kutengeneza utajiri wa kufikia dola bilioni moja na zaidi ni lazima ukubali mikono yako kuchafuka ‘vumbi’ kidogo. Muulize Mo Dewji, msome Gates na alichowafanyia IBM na Steve, chunguza vifo vilivyotokea mwanzoni kwa kuanzishwa kwa Facebook na alichokifanya Mark, muulize Aliko Dangote, teta na akina Motsepe na familia ya Gupta pale Afrika Kusini.
Wote hawa hawawezi kukataa kwamba “behind every great fortune lies a great crime.” Kila utajiri una ukafiri nyuma yake.

MWISHO

H.B ANGA “THE BOLD”

To Infinity and Beyond



Nilikuandikia kuwa ukiwa muongo, au ukiwa na maarifa na taarifa kidogo,, Jifunze sana kutunza kumbukumbu.
REJEA COMMENT YANGU NO. 1022.


Uliandika kuwa mauji hayapo Ulaya, Afrika, kama ilivyokuwa huko Russia kwa ulimwengu wa sasa ila sehemu yako hii ya mwisho umeonyesha waziwazi kuwa Uingereza, watu wanauawa, na unahitimisha kwa kutaja majina na nchi ambako mambo hayo yanafanyika.

Wewe ni uchwara katika intelijensia na hauna connection yoyote na mtu wa intelijensia bali wewe ni mlamba viatu vya watu ili wakupe taarifa ila unapewa taarifa uchwara.

Eti ,, unajinadi kwamba una taarifa zote za kiintelijensia ya nchi za Afrika Mashariki.

Boy, remember ; "Always, I don't acknowledge the mess"


Ww roho mbaya, choyo, husda zinakusumbua, ww ni mwanga kabisa
 
brasy coco, post: 33275636, member: 83283"]
Ww roho mbaya, choyo, husda zinakusumbua, ww ni mwanga kabisa
[/QUOTE].

Poise, siyo wa roho na mambo yote hayo uliyonitajia ila kanuni yangu ni hii ..... huwa sipendi kuona mtu anaandika au kusema uongo halafu nimwachie audanganye umma hiyo siyo haki katu.

Ziaidi ya hapo; mambo yenyewe hayo watu tulioishi miaka hiyo ; tumeyaona na hadi leo tunayaona yakiendelea tena kwa nyendo zile zile. Mbali na hapo kazini na mitaani kila wakati tunaona ''crime scenes'' za hivyo.

Alipoharibu zaidi, anandika kuwa anazo taarifa zote za Kiintelijensia za nchi zote za Afrika Mashariki; mfano hapo Tanzania TISS, Rwanda NISS, anazo taarifa zake zote? Kweli anazo taarifa zote?,,,,, haaaa haaaa teeeh teeeh aache mzaha.
Tena asichofahamu ni kuwa taarifa za kiintelijensia miundo yake siyo kama ''cycle but its a 'spider web and fiber which sprint in every few yds"

Mwambieni huyo "boy" aache mzaha ila aendelee kuandika utumbo wake wa kunakili kwenye mitandao ya nje lakini asiweke taarifa za uongo na kuonyesha umma kuwa ana taarifa zote za kiintelijensia.

Always, "I don't acknowledge the mess"
 
brasy coco, post: 33275636, member: 83283"]
Ww roho mbaya, choyo, husda zinakusumbua, ww ni mwanga kabisa
.

Poise, siyo wa roho na mambo yote hayo uliyonitajia ila kanuni yangu ni hii ..... huwa sipendi kuona mtu anaandika au kusema uongo halafu nimwachie audanganye umma hiyo siyo haki katu.

Ziaidi ya hapo; mambo yenyewe hayo watu tulioishi miaka hiyo ; tumeyaona na hadi leo tunayaona yakiendelea tena kwa nyendo zile zile. Mbali na hapo kazini na mitaani kila wakati tunaona ''crime scenes'' za hivyo.

Alipoharibu zaidi, anandika kuwa anazo taarifa zote za Kiintelijensia za nchi zote za Afrika Mashariki; mfano hapo Tanzania TISS, Rwanda NISS, anazo taarifa zake zote? Kweli anazo taarifa zote?,,,,, haaaa haaaa teeeh teeeh aache mzaha.
Tena asichofahamu ni kuwa taarifa za kiintelijensia miundo yake siyo kama ''cycle but its a 'spider web and fiber which sprint in every few yds"

Mwambieni huyo "boy" aache mzaha ila aendelee kuandika utumbo wake wa kunakili kwenye mitandao ya nje lakini asiweke taarifa za uongo na kuonyesha umma kuwa ana taarifa zote za kiintelijensia.

Always, "I don't acknowledge the mess"
[/QUOTE]
Kama kuskia keshakuskia wacha kutujazia uzi au na ww nd unataka umaarufu
Siku ukute bold ndio maguful anatumia fake ID nd utajua km anazo au hana
 
Roja Mila, post: 33304340, member: 354509"]
.

Poise, siyo wa roho na mambo yote hayo uliyonitajia ila kanuni yangu ni hii ..... huwa sipendi kuona mtu anaandika au kusema uongo halafu nimwachie audanganye umma hiyo siyo haki katu.

Ziaidi ya hapo; mambo yenyewe hayo watu tulioishi miaka hiyo ; tumeyaona na hadi leo tunayaona yakiendelea tena kwa nyendo zile zile. Mbali na hapo kazini na mitaani kila wakati tunaona ''crime scenes'' za hivyo.

Alipoharibu zaidi, anandika kuwa anazo taarifa zote za Kiintelijensia za nchi zote za Afrika Mashariki; mfano hapo Tanzania TISS, Rwanda NISS, anazo taarifa zake zote? Kweli anazo taarifa zote?,,,,, haaaa haaaa teeeh teeeh aache mzaha.
Tena asichofahamu ni kuwa taarifa za kiintelijensia miundo yake siyo kama ''cycle but its a 'spider web and fiber which sprint in every few yds"

Mwambieni huyo "boy" aache mzaha ila aendelee kuandika utumbo wake wa kunakili kwenye mitandao ya nje lakini asiweke taarifa za uongo na kuonyesha umma kuwa ana taarifa zote za kiintelijensia.

Always, "I don't acknowledge the mess"
[/QUOTE]



Kama kuskia keshakuskia wacha kutujazia uzi au na ww nd unataka umaarufu
Siku ukute bold ndio maguful anatumia fake ID nd utajua km anazo au hana
[/QUOTE]

Roja Mila,
Wacha nicheke kwa nguvuu teeh teeh :D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D

Poise, Always, I don't acknowledge the mess no matter who said or wrote.
 
Mkuu umenifanya niwaze sana kuhusu serikali yetu inamaana vingi tuna kopi toka urusi? Ujamaa, usalama wa taifa urusi. tuachane nayo twende kwenye point hiyo life style ya kutumia media hata hapa kwetu hipo jembe toka chato nayo anatumia sana miaka minne namuona yy hata akienda kanisa kamera zinammurika na pia nakumbuka kinana enzi ya kikwete aliitumia sana . Duh mkuu endelea kutupa nondo
 
The bold,sweettablet ,
Mwanzoni mwa makala hii nilijenga hoja kwamba si jambo jepesi sana kuwa bilionea. Unaweza kuwa tajiri… milionea, hakuna shida wala shaka. Lakini kutengeneza utajiri wa kufikia dola bilioni moja na zaidi ni lazima ukubali mikono yako kuchafuka ‘vumbi’ kidogo. Muulize Mo Dewji, msome Gates na alichowafanyia IBM na Steve, chunguza vifo vilivyotokea mwanzoni kwa kuanzishwa kwa Facebook na alichokifanya Mark, muulize Aliko Dangote, teta na akina Motsepe na familia ya Gupta pale Afrika Kusini.
Wote hawa hawawezi kukataa kwamba “behind every great fortune lies a great crime.” Kila utajiri una ukafiri nyuma yake.

MWISHO

H.B ANGA “THE BOLD”

To Infinity and Beyond



Nilikuandikia kuwa ukiwa muongo, au ukiwa na maarifa na taarifa kidogo,, Jifunze sana kutunza kumbukumbu.
REJEA COMMENT YANGU NO. 1022.


Uliandika kuwa mauji hayapo Ulaya, Afrika, kama ilivyokuwa huko Russia kwa ulimwengu wa sasa ila sehemu yako hii ya mwisho umeonyesha waziwazi kuwa Uingereza, watu wanauawa, na unahitimisha kwa kutaja majina na nchi ambako mambo hayo yanafanyika.

Wewe ni uchwara katika intelijensia na hauna connection yoyote na mtu wa intelijensia bali wewe ni mlamba viatu vya watu ili wakupe taarifa ila unapewa taarifa uchwara.

Eti ,, unajinadi kwamba una taarifa zote za kiintelijensia ya nchi za Afrika Mashariki.

Boy, remember ; "Always, I don't acknowledge the mess"
Hii ni burudani...sidhani kama ni mahali pa kuweka ugomvi. mkuu unaweza kuanzisha uzi ukaweka nondo zako na wewe tusome...
 
Asante sana bro. Unajua I dont care kama stori hii ina ukweli kwa asilimia ngapi (lazma tu kuna mahali unaongeza au kupunguza chumvi kidogo ili inoge). Lakini nimejifunza mengi sana kuhusu ulimwengu huu tunaoishi. Ya kwamba, kuwa mwanasiasa mkubwa au tajiri mkubwa lazma ujitoe mhanga kwelikweli. Kama huna "guts" kaa pembeni uwe mfuasi, mshangiliaji au mlamba viatu wa wenye hizo guts.
 
Kuna Watu humu ni kama vile wame kalia kitu flan hivi au wana kipele some where hawatulii na hawaleweki wanataka nini au wanataka kufikisha Ujumbe gani ,wana hangaika tu for no good reson。
 
Sijafanya Utafiti wa kina kuhusu andiko lako.
Hata Hivyo nina Shaka kubwa na.baadhi ya Mambo uliyoandika.
Mengi hayana ushahidi wa kutosha na yamewekwa kunogesha tu hadithi
 
Sijafanya Utafiti wa kina kuhusu andiko lako.
Hata Hivyo nina Shaka kubwa na.baadhi ya Mambo uliyoandika.
Mengi hayana ushahidi wa kutosha na yamewekwa kunogesha tu hadithi.
It's wise kuja na ushahidi au vyanzo vya habari husika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom