Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,592
Poise, najua mwimbaji ni wewe. Aliyetunga taarabu yako nani? Aliyetia muziki nani! Wenzako akina Mzee Yusuph huwa wanawataja!The bold,sweettablet ,
Mwanzoni mwa makala hii nilijenga hoja kwamba si jambo jepesi sana kuwa bilionea. Unaweza kuwa tajiri… milionea, hakuna shida wala shaka. Lakini kutengeneza utajiri wa kufikia dola bilioni moja na zaidi ni lazima ukubali mikono yako kuchafuka ‘vumbi’ kidogo. Muulize Mo Dewji, msome Gates na alichowafanyia IBM na Steve, chunguza vifo vilivyotokea mwanzoni kwa kuanzishwa kwa Facebook na alichokifanya Mark, muulize Aliko Dangote, teta na akina Motsepe na familia ya Gupta pale Afrika Kusini.
Wote hawa hawawezi kukataa kwamba “behind every great fortune lies a great crime.” Kila utajiri una ukafiri nyuma yake.
MWISHO
H.B ANGA “THE BOLD”
To Infinity and Beyond
Nilikuandikia kuwa ukiwa muongo, au ukiwa na maarifa na taarifa kidogo,, Jifunze sana kutunza kumbukumbu.
REJEA COMMENT YANGU NO. 1022.
Uliandika kuwa mauji hayapo Ulaya, Afrika, kama ilivyokuwa huko Russia kwa ulimwengu wa sasa ila sehemu yako hii ya mwisho umeonyesha waziwazi kuwa Uingereza, watu wanauawa, na unahitimisha kwa kutaja majina na nchi ambako mambo hayo yanafanyika.
Wewe ni uchwara katika intelijensia na hauna connection yoyote na mtu wa intelijensia bali wewe ni mlamba viatu vya watu ili wakupe taarifa ila unapewa taarifa uchwara.
Eti ,, unajinadi kwamba una taarifa zote za kiintelijensia ya nchi za Afrika Mashariki.
Boy, remember ; "Always, I don't acknowledge the mess"