ROMA MKATOLIKI CV!!!! Sio tu Msanii??

Me naona jamaa yuko neutral, huo mstari kautumia tu kuonesha msimamo. Na kama anashabikia chama chochote ambayo ni haki yake kikatiba nahisi haoneshi kwenyew mziki wake. Nasema hivyo kwa sababu enzi za kampeni alikataa nyimbo zake zisitumiwe na Chadema wala chama chochote cha siasa
Nashukuru Mkuu kwa taarifa, Kama usemayo ni ya ukweli basi huu ndio unaitwa Msimamo usio tikisika kwa namna yeyote ile...nampongeza sana kijana, namtakia mafanikio makubwa zaidi katika kazi na masomo yake.. Hawa ndio wanaharakati wanaohitajika katika hali tuliyonayo hivi sasa hapa nchini
 
Anyway kuna kingine kinachonipa walakini hapa,..kuna tokea malalamiko siku za usoni kuhusu hawa clouds kuwatenda ndivyo sivyo wasanii wengi kwa kuwatumia katika matamasha yanayowaingizia millions of shs..kisha kuwatosa pasipo malipo sahihi yanayolingana na kazi yao...

1.Mara kadhaa sijaona clouds wakimsogelea,ni je wanamuogopa kutokana na msimamo wake?
2.Mara nyingi tunawasikia watangazaji wa clouds waliowasimulizi wa muziki wa hiphop wakiziongelea nyimbo zinazohit za hiphop,.mbona hawaisimulii hiphop iliyotukuka kutoka kwa huyu kijana?

Ukiona hivyo ashawapa kubwa kama sugu, afu clouse naifananisha na ccm mambo yake yamekaa kifisadi na wasiofikiria kesho
 
Gwanda huyu jamaa ndio kama sare yake ya kazi.
Magwanda hata kabla hayajakuwa official Chadema wear yalikuwa ni mavazi ya wanaharakati wengi na wakombozi walopita. Baadhi Ya wankombozi waliotumia Au Kuvaa magwanda ni kama
1. Ernesto Che Guevara
2. Fidel Castro
3. J.K Nyerere (picha nyingi zipo)
4. Wapiganiaji uhuru wengi wa South Africa

Na wengine wengine wengi, so hii ni kama uniform ya wanaharakati nahisi ndio sababu ya huyu Kijana pia kuzitumia.

Pia Khaki Inaonekana kuwa ni kama vazi la Concious Artists wengi kama kina "Ice Cube", "Common", na wengine wengi.
Roma Mkatoliki Ni One The Most Realest MCs Kuonekana Tanzania Hii

Mkuu hembu tujuze kitu hapa,kijana huyu anategemea ku graduate lini hasa katika elimu yake hapo UDSM?
 
Me Ni Mfuatiliaji mzuri wa swahili Hip Hop. Na kwa kumbukumbu zangu hawa clouds kuna kipindi wali-vow kuiangusha swahili hip hop, kipindi kile cha wagosi wa kaya, mapacha na wengine wengi. Cha kushangaza sasa hivi hip hop imerudi tena na kwa nguvu tena kutokana na uwepo wa medias nyingine nyingi, na clouds wanakumbatia wanahip hop wachache sana. Ukiimba concious Hip hop hawakutaki.
Now Back to Roma, huyu jamaa hawamzoei wanamuogopa kwa sababu watanzania wengi wamemkubali na haogopi kusema lolote. Kwa mfano kwenye moja ya nyimbo zake iitwayo "Mathematics" kule ndani kampaka Ephraim Kibonde. Mstari unasema ".... Kibonde wewe ni member wa Loan Board au TCU???" Hii ni kutokana na Kibonde kuzngumzia mkopo kuwa wanafunzi wanautapanya.

Kibondee!!! hivi huwa anapata kweli muda wa kufikiria maisha baada ya clouds
 
Hahahaaa,nimemsikiliza tena hapa eti anadai kati ya aliyebambikiwa kesi na swahiba wa kikwe...ni yupi anastahili afungwe..
"Kama mlimuua amina hapa kwangu chuma cha reli" Roma bwana,.dah haya babu kambless aje town kutetea wanyonge
 
Puppy hembu ngoja kwanza, roma alipouliza kibonde ni member wa loan board ama TCU amemaanisha nini hapo?? au ndio kejeli kwa elimu ya kibonde ambayo haijafikia kiwango cha kuchangamana na hizi bodi?
 
Puppy hembu ngoja kwanza, roma alipouliza kibonde ni member wa loan board ama TCU amemaanisha nini hapo?? au ndio kejeli kwa elimu ya kibonde ambayo haijafikia kiwango cha kuchangamana na hizi bodi?



Kibonde katika ile show yao ya jioni "Jahazi" aliwapaka sana wanafunzi wa vyuo vikuu, aliongelea sana lifestyle yao wakiwa na boom. Na unamjua jamaa anavyojua kuongea kama taarab lazima akukere. Jamaa wa UDSM wakamjibu kwa kubandika elimu Matokeo yake sana ya kidato cha nne, alofeli. Na Roma Ndio Akamuuliza wewe ni Member wa Loan Board au TCU??? Maana kibonde anajifanya anajua sana mambo yao wanachuo.
 
Anyway kuna kingine kinachonipa walakini hapa,..kuna tokea malalamiko siku za usoni kuhusu hawa clouds kuwatenda ndivyo sivyo wasanii wengi kwa kuwatumia katika matamasha yanayowaingizia millions of shs..kisha kuwatosa pasipo malipo sahihi yanayolingana na kazi yao...

1.Mara kadhaa sijaona clouds wakimsogelea,ni je wanamuogopa kutokana na msimamo wake?
2.Mara nyingi tunawasikia watangazaji wa clouds waliowasimulizi wa muziki wa hiphop wakiziongelea nyimbo zinazohit za hiphop,.mbona hawaisimulii hiphop iliyotukuka kutoka kwa huyu kijana?

Ukiona hivyo ashawapa kubwa kama sugu, afu clouse naifananisha na ccm mambo yake yamekaa kifisadi na wasiofikiria kesho
 
Anyway kuna kingine kinachonipa walakini hapa,..kuna tokea malalamiko siku za usoni kuhusu hawa clouds kuwatenda ndivyo sivyo wasanii wengi kwa kuwatumia katika matamasha yanayowaingizia millions of shs..kisha kuwatosa pasipo malipo sahihi yanayolingana na kazi yao...

1.Mara kadhaa sijaona clouds wakimsogelea,ni je wanamuogopa kutokana na msimamo wake?
2.Mara nyingi tunawasikia watangazaji wa clouds waliowasimulizi wa muziki wa hiphop wakiziongelea nyimbo zinazohit za hiphop,.mbona hawaisimulii hiphop iliyotukuka kutoka kwa huyu kijana?

Wasanii mambumbu ndio wanaosifiwa na clouds tu,wenye akili wote hawawaongelei kabisa.
 
pole kama hujapata ujumbe toka kwake au kama sio wewe ni gamba maana magamba hawajifunzi mazuri na mema hata siku moja

ujumbe gani utoke kwa Roma au iyo mikelele anayopiga?anapayuka majina ya watu ili nyimbo zipate attention hana jipya zaidi ya hilo.
 
kwenye mathematics kuna hii sentence... watu wanajiuliza eti dkt slaa anapata wapi data wakati ata kama nimevaa mlegezo ikulu napiga chata// .jaribu kuchambua apo kiugreat thinker then kuna kitu utarealize. like whooa!!!!!
 
Wasanii mambumbu ndio wanaosifiwa na clouds tu,wenye akili wote hawawaongelei kabisa.

uyu roma mganga njaa ni mmoja ya wasanii wanaopafomu show za clouds kwa laki moja per show,clouds wanawaita kundi B,na hakosi kwenye show zao wala ajawai kugomea pesa mbuzi anazopewa.hizi nazo ni akili!??
 
jamaa ni mwanaharakat wa maneno angekuwa wa ukwel asingewachekea clouds
jinsi wanavyo wanyonya
wasanii.
Anawaogopa CLOUDS! Hata facebook mkimuuliza swala juu ya uzandiki wa
media kwa Tz hiphop anakimbia. So
ni mwanaharak wa mdomoni.
 
Namkubali sana huyu sema tu simu yangu inashindwa kusave nyimbo zake,na uzuri anaongea ya ukweli sana
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom