luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,849
- 1,938
- Thread starter
- #21
Nashukuru Mkuu kwa taarifa, Kama usemayo ni ya ukweli basi huu ndio unaitwa Msimamo usio tikisika kwa namna yeyote ile...nampongeza sana kijana, namtakia mafanikio makubwa zaidi katika kazi na masomo yake.. Hawa ndio wanaharakati wanaohitajika katika hali tuliyonayo hivi sasa hapa nchiniMe naona jamaa yuko neutral, huo mstari kautumia tu kuonesha msimamo. Na kama anashabikia chama chochote ambayo ni haki yake kikatiba nahisi haoneshi kwenyew mziki wake. Nasema hivyo kwa sababu enzi za kampeni alikataa nyimbo zake zisitumiwe na Chadema wala chama chochote cha siasa