Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
atachokuja kufail kimziki kutaka kuwadiss manguli wa mziki huu....
Gwanda huyu jamaa ndio kama sare yake ya kazi.
Magwanda hata kabla hayajakuwa official Chadema wear yalikuwa ni mavazi ya wanaharakati wengi na wakombozi walopita. Baadhi Ya wankombozi waliotumia Au Kuvaa magwanda ni kama
1. Ernesto Che Guevara
2. Fidel Castro
3. J.K Nyerere (picha nyingi zipo)
4. Wapiganiaji uhuru wengi wa South Africa
Na wengine wengine wengi, so hii ni kama uniform ya wanaharakati nahisi ndio sababu ya huyu Kijana pia kuzitumia.
Pia Khaki Inaonekana kuwa ni kama vazi la Concious Artists wengi kama kina "Ice Cube", "Common", na wengine wengi.
Roma Mkatoliki Ni One The Most Realest MCs Kuonekana Tanzania Hii
mpiga kelele tu uyo,usimfananishe na fid q
atachokuja kufail kimziki kutaka kuwadiss manguli wa mziki huu....
Anyway kuna kingine kinachonipa walakini hapa,..kuna tokea malalamiko siku za usoni kuhusu hawa clouds kuwatenda ndivyo sivyo wasanii wengi kwa kuwatumia katika matamasha yanayowaingizia millions of shs..kisha kuwatosa pasipo malipo sahihi yanayolingana na kazi yao...
1.Mara kadhaa sijaona clouds wakimsogelea,ni je wanamuogopa kutokana na msimamo wake?
2.Mara nyingi tunawasikia watangazaji wa clouds waliowasimulizi wa muziki wa hiphop wakiziongelea nyimbo zinazohit za hiphop,.mbona hawaisimulii hiphop iliyotukuka kutoka kwa huyu kijana?
Fid anakipi hasa cha ziada mkuu??
kwa kulinganisha na roma kisanii,fid bado anamwacha mbali uyu mtoto..fid kidogo anafikilisha unapomsikiliza,roma amekaa ki-fm fm sana