ROMA: Kutekwa "k" kutafutwa "k" kupigwa "k" eee k ni k hata kupatikana "k".

mr mkiki

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
5,583
11,659
IMG_20170406_234652.jpg


Serikali ijitokeze na kusema kama wanaomshikilia Roma ni majambazi au vyombo vya serikali.
Wasanii mnapaswa kuwa mbele katika hili.

Ikifika kesho hatujui alipo Roma ni marufuku radio au Tv yoyote kupiga mziki wa msanii wa Tanzania.

Hatuhitaji.

[HASHTAG]#FreeRoma[/HASHTAG].
 
Naogopa kuwa wa kwanza kuchangia......

Kuvamia na Kutowesha imeshakuwa ajira........???
 
Ukiona wao Sirikali wapo kimya kama alivopotea Ben basi hata Roma wanamjua alipo. Unajua fisi akiwa na njaa anawala hata wanawe
 
View attachment 492124

Serikali ijitokeze na kusema kama wanaomshikilia Roma ni majambazi au vyombo vya serikali.
Wasanii mnapaswa kuwa mbele katika hili.

Ikifika kesho hatujui alipo Roma ni marufuku radio au Tv yoyote kupiga mziki wa msanii wa Tanzania.

Hatuhitaji.

[HASHTAG]#FreeRoma[/HASHTAG].
Media zinahusikaje hapo?
 
Back
Top Bottom