4G LTE
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,777
- 10,533
- Thread starter
- #81
Pamoja sana mkuu... Sema partition ya story inategemeana na urefu wake.... Mfano mimi ninachapa kwenye ms word, ikishavuka pg 7 lazima niigawe maana hapa inakuwa ndefu sana ukichanganya na viambatanisho kama picha n.k.Safi Sana story nzuri umeenda direct hujaikatisha Wala kuleta madoido Ya sehem yangapi Na ngapi Kesho au baadae.Wanaileta story zao waige mfano wako.Bravo Sana!